Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Zoe. Don't take your mama for granted. Kuwa karibu naye. Usipitishe wiki bila kumjulia hali. Jifunze kutoka kwake kwa kadri inavyowezekana; na usichoke kumpa vizawadi mara kwa mara hata kama ni vidogo namna gani; na bila kujali kama ana uwezo ama la! Msamehe kwa makosa yake hata kama yeye ndiye amekukosea. Na mkumbushe mara kwa mara kwamba unampenda. Mwombee. Hakuna kama mama na wakija kuondoka aisee inauma sana. Ndiyo! Wapumzike salama huko waliko. One day tutaungana nao [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17] I feel so sorry for you guys, Mungu azidi kuwapumzisha kwa amani hao mama zetu na azidi kuwafariji wapendwa wao. Amen
🙏🙏🙏🙏🙏dear capitalpool,
I just can't count my blessings with you in my life, you're admired here Caps!!
Shukrani sana Mr. Carlos kwa ushauri mzuri, utafanyiwa kazi..!!.Duuhh Tayari.
Mkuu Carleen , nisiwe mnafiki, mie nakuombea uishi tu Umri ambao Mungu kamuamlia mwanadamu kuishi.
Na ili hilo liwezekane ni lazima
1-Umuombe kila siku akuepushe na Mabalaa, magonjwa, na minyonyoro ya shetani.
2-Wewe mwenyewe kuhakikisha unajipa Tahadhari na kuchukua Hatua mbali mbali za kuifanya Afya yako izidi kua Bora..... Kwa mfano...Kama umeolewa tulia na mumeo..., kama hujaolewa, kua na mpenzi mmoja mwaminifu na uwe mwaminifu, kama una hofu naye Basi tumia kondomu na kuepukana na tabia hatarishi kama kunyonya mashine n.k.
Huo ni mfano tuuu, vipi vingi ,kuanzia vyakula, aina ya maisha yako n.k
Kinyume nahapo Mkuu Carleen kuifikisha miaka 75 tu ni Tizi ,sembuse iyo 120 ??
Happy birthday !!.
Oooow'..Nimekuelewa,[emoji23][emoji23]
Kama ni hivyo ni jina sahihi tu linasadifu kila kitu kuhusu mimi!!
Btw..Msalimie pacha wako
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂
thanks to you girlie, 😍Happy birthday to you Aries mate💋
thanks to you bbygirl, A huge Amen to that biurifo..!!Happy birthday beautiful Carleen, more life,more of everything🙏
December 12 kumbe ulikuwa unanichora tu bro? 😀Asante Paula. Yangu ni December 12...ila huwa ina mixed feelings kwa sababu mamangu kipenzi pia alifariki December 12...
Big Bro,Mdogo wangu Carleen. Niko kwenye quarantine + curfew ya Korona; na nilikuwa nimeamua kupumzika kidogo na JF lakini kwa hili nimeshindwa kujizuia. Nami naungana na wote kukutakia kila lililo la heri unaposherehekea siku yako hii ya muhimu. Hebu yote yaliyosemwa na kipenzi chako (na wapendwa wengineo) hapo juu na yakatimie kwako saba mara sabini katika mwaka huu mpya unaouanza; na mingine mingi ijayo. Mungu na Akakushike mkono na kukuimarisha zaidi na zaidi ewe binti wa ajabu.
Mimi huwa nakufananisha na Esta wa kwenye Biblia - yule binti jasiri wa Kiebrania aliyesimama imara mbele ya maadui wenye nguvu mpaka akaweza kujiokoa yeye mwenyewe, familia ya mjomba wake pamoja na watu wake wote. Wewe ni lulu ya thamani kabisa kabisa; na dunia ni bora zaidi kutokana na uwepo wako ndanimwe. U nyota ing'aayo sana ili kuwaonyesha njia wasafiri waliopotea na hata kupondeka mioyo katika kizazi hiki kinachohangaika huku na huko kikipapasa njia ya mkato kuelekea katika ufanisi (hasi) wa maisha. Naamini kuwa Mungu Analo kusudi kubwa sana na maisha yako. Mshukuru Yeye kwa yote. Mkabidhi Yeye njia zako na mshirikishe sana katika maamuzi yako yote. This big bro of yours is extremely happy for you; and I hope that your friendship with your Coco will last forever. Hebu na ikawe hivyo !!!
😂😂Hahaha!! Maskinii jina languu[emoji23][emoji23]...usinifanyie hivyo sisy😍
🤗🤗umenifanya nikabadili ID aisee😊😊😊😊
Babygirl, basi najiskia vizuri kama baby kweli kumbe ni mbibi na mvi zake😀😀 thank youuthanks to you bbygirl, A huge Amen to that biurifo..!!
thanks to you Don C..!!
👼👼👼👼🤗🤗
I am happy thach you did Nelly,