Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👱👱👱👱Babygirl, basi najiskia vizuri kama baby kweli kumbe ni mbibi na mvi zake😀😀 thank youu
Shukrani sana Vinci' aqe..!!Homgera kwa kuzaliwa tena mkuu
Shukrani sana mumie aqe..!!Heri ya siku ya kuzaliwa mpendwa.
😅😅Babygirl, basi najiskia vizuri kama baby kweli kumbe ni mbibi na mvi zake😀😀 thank youu
Kaka mi nikazie huu ung'eng'e tu kwanza. 🙈 Tafsiri nitaijua baadae akija Carleen. 🤣Carleen
The world witnessed a beautiful creature, you shone like a star, you filled your family with hope, you were everything your family was waiting for, praying for, for years.
Some years later, you grew older and bigger and people like myself got to know you, feeling blessed and would never risk losing that.
The world is better and beautiful because of people like yourself, you are a sister to some, a friend to others, a queen as well, the boss may be, an angel (as a matter of fact) and the list goes on.
Today, as the sun rose, it did so knowingly we are going to celebrate your presence once again and here we are, celebrating!!!
Happy birthday..........
Hahahaahahahha huwezi jua dada hiyo dishkineri nlivyoipekua hapo. Hii lugha kweli ilikuja kwa jahaziKaka mi nikazie huu ung'eng'e tu kwanza. 🙈 Tafsiri nitaijua baadae akija Carleen. 🤣
Hahahaaa. LolHahahaahahahha huwezi jua dada hiyo dishkineri nlivyoipekua hapo. Hii lugha kweli ilikuja kwa jahazi
Amen nashukuru sana kwa neno zuri, nampenda sana mama yangu na ninajitahidi sana kuwa a perfect daughter to her. Mungu amuweke na azidi kumbarikiAsante Zoe. Don't take your mama for granted. Kuwa karibu naye. Usipitishe wiki bila kumjulia hali. Jifunze kutoka kwake kwa kadri inavyowezekana; na usichoke kumpa vizawadi mara kwa mara hata kama ni vidogo namna gani; na bila kujali kama ana uwezo ama la! Msamehe kwa makosa yake hata kama yeye ndiye amekukosea. Na mkumbushe mara kwa mara kwamba unampenda. Mwombee. Hakuna kama mama na wakija kuondoka aisee inauma sana. Ndiyo! Wapumzike salama huko waliko. One day tutaungana nao [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Then be.Amen nashukuru sana kwa neno zuri, nampenda sana mama yangu na ninajitahidi sana kuwa a perfect daughter to her. Mungu amuweke na azidi kumbariki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmhh, i doubt.Babygirl, basi najiskia vizuri kama baby kweli kumbe ni mbibi na mvi zake[emoji3][emoji3] thank youu
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] Jah Bless YaThen be.
That's the girl[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
It's for real my dear,I'm 50s yrs now, wewe naskia ni katoto ka juzi 2000s aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmhh, i doubt.
😍😍Uwiiii!! Ubusy huu mpaka mechelewa. Lol.
Kheri ya kuzaliwa Mdogo wake Shadeeya Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu.
Heri ya siku ya kuzaliwa wanyumbani...malaika mlinzi azidi kuwa nawe siku zote..uzidi kuwa baraka kwa wengine na Damu ya Yesu ikufunike.
Sent using Jamii Forums mobile app