Nilipoona habari ya Aunty Ezekiel nikashangaa kuiona picha ya mtu mwingine... nikaona sio issue, issue ni habari... nikaendelea mbele, eh hii msg nikalazimika kurudi nyuma... yaani mh! Ningekuwa Mluguru ningeendelea kukataa kwamba sio Aunt Ezekiel huyo!Make up hiz zinabadilisha watu yaan utadhan sio yeye hapo