Happy Birthday Aunty Ezekiel

Happy Birthday Aunty Ezekiel

Make up hiz zinabadilisha watu yaan utadhan sio yeye hapo
Nilipoona habari ya Aunty Ezekiel nikashangaa kuiona picha ya mtu mwingine... nikaona sio issue, issue ni habari... nikaendelea mbele, eh hii msg nikalazimika kurudi nyuma... yaani mh! Ningekuwa Mluguru ningeendelea kukataa kwamba sio Aunt Ezekiel huyo!
 
mwe....kweli Mungu akupi vyote.....

lakini.dawa ya jasho ipo....kama anaweza awe anakamua juice ya ndimu au limao.....afu anapaka mwili mzima haswa kwapani.......awe anafanya hvyo kila siku asubuh na jioni.....akiendelea kunuka basi ......ana kilema cha jasho.....
Sasa akipata ajali ya moto si atageuka kuwa nyama choma tena au mishikaki ya Mangi?!
 
Mtoto mtamu, ila sema nasikia ananukaga jasho hatar, yan ana jasho baya uyo unaweza mkimbia, kwapa linatema

Hivi hii kitu kunuka jasho ni nini?kuna kijana mmoja hapa ofisini kwetu alikuwa terminated simply kwa sababu ya jasho na harufu mbaya toka miguuni,hata aoge vipi na avae sandals wapi. Mkisafiri naye katika gari utatamani ushuke kwenye gari utafute usafiri mwingine!
 
Wenyew wanakazana na mapafyumu ya milion moja lakin bado pafyumu na jasho vinajitenga yan ana kwapa kali mno, aunty ana nyama nyama flani iv halafu nzito so ikipata jua na joto binamu walahi hatukai

ndiyo shida ......ndimu inakausha hata jasho......unatumia ndimu afu perfume inakuja baadae......
 
Amenitmiza miaka mingapi? manake hawa hawakui..........
 
Jamani jf ina mambo. Mbona wanamsimanga sana kajala ananuka papuchi kumbe na yeye ananuka kibeberu mfuuuu
 
Na yeye anatimiza miaka mingapi? Keshafika 20 au ndo ametimiza sasa?manake dadaz wa dar es salaam,ah wana mambo ile mbaya... ni Lulu peke yake ndie alijiongezea umri baada ya kuona wanamsemanga kwamba eti katimuliwa ITV baada ya kuonekana hajatulia na mwenyewe kusema hajatimuliwa ila umri wake ushakuwa mkubwa kuendesha kipindi cha watoto!! Maajabu hayakuisha, alipokumbwa na tuhuma za mauaji ya Kanumba, ehe! Si akaukana tena ule umri mkubwa na kusema yeye ndo kwanza yupo under 18!!!

Katimiza 27...nimemsikia Zamaradi...
 
Ndo maana Diamond alivyomchambaga Wema, wala hakujisikia kichefu chefu....kumbe anazurura na dawa ya kichefu chefu masaa 24...

cc; Dinazarde

Hahahahaha mi simo...ngoja mbeba pochi wake apite apa povu limtoke
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha mi simo...ngoja mbeba pochi wake apite apa povu limtoke

Akija atatoa ushuhuda tuu...tena umenikumbusha ndo maana hata yeye akichambwa na Dinazarde hanuni kumbe dawa anayo...hahahaaa....
 
Last edited by a moderator:
Hivi hii kitu kunuka jasho ni nini?kuna kijana mmoja hapa ofisini kwetu alikuwa terminated simply kwa sababu ya jasho na harufu mbaya toka miguuni,hata aoge vipi na avae sandals wapi. Mkisafiri naye katika gari utatamani ushuke kwenye gari utafute usafiri mwingine!

Mmmh..pole yake
 
....... yani ni shidaa ndo maana mimi na mademu wa insta tofauti[/QUOTE]

Kwani wali nazi na nyie mnatamanigi mademu ama.mabasha?
 
Hivi hii kitu kunuka jasho ni nini?kuna kijana mmoja hapa ofisini kwetu alikuwa terminated simply kwa sababu ya jasho na harufu mbaya toka miguuni,hata aoge vipi na avae sandals wapi. Mkisafiri naye katika gari utatamani ushuke kwenye gari utafute usafiri mwingine!

Masikin wee i can imagine how he feels hyo kijana wa watu ! Na atajickia vibaya zaid mara baada ya hiyo termination kazini
 
Mtoto mtamu, ila sema nasikia ananukaga jasho hatar, yan ana jasho baya uyo unaweza mkimbia, kwapa linatema

Warumi nasikia dawa ya hiyo kitu ni kunawa na maji ya ukoko wa ugali. Mimi nadhani na personal hygene inapaswa kuzingatiwa kwa ukaribu sana.

Watu wanajishau sana. Kwa kuwa mara nyingi jasho lako ukilizowea unakuwa comfortable. Kumbe unanuka mapera. Halafu wanaume wanavaa soksi week nzima hawabadili daah na joto la Bongo...
 
Back
Top Bottom