Happy birthday baby STUNTER

Happy birthday baby STUNTER

Hubby, bby, darling ooops my everything[emoji106] [emoji106] I don't wanna God to give u much but to give you what you deserve according to His will. No man shall go against God's will into your life. Isayah 54:17, I pray that you live happy and longer life and you shall testify of His goodness. Psalm118:17. This will surely come as our God is not a liar, when He says YES no one can say NO. Numbers 23:19

Happy birrhday darling!!!!!!!
Happy birth day broo baraka za mungu zikushukie hadi zikulemee zikutese[emoji86]
 
Bado niitie bas huku kwangu naona kipasa sauti kimeisha betri
Anaitwa nani vilee..maana mahaba ya meno ga tunaitana baby honey mamy mpaka majina yet tumeysahau
 
Happy birth day broo baraka za mungu zikushukie hadi zikulemee zikutese[emoji86]
Jmn jmn simtese tena? Kwa taarifa yako Mungu humpa mja wake baraka anazoziweza tu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]

Sitaki mpnz wangu ateseke
 
Anaitwa nani vilee..maana mahaba ya meno ga tunaitana baby honey mamy mpaka majina yet tumeysahau
Tulia utakumbuka tu. Ukiona hukumbuki ujue humpendi
 
Wewe mgeni humu ndani au unajifanya unafanana na id yako mkuu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]
Haa.mie mgeni bhana maeneo haya.nimegundua humu ndani ukijifanya mgumu sana.utakuwa mwanachama wa chaputa mpaka unakufa.
 
Jmn jmn simtese tena? Kwa taarifa yako Mungu humpa mja wake baraka anazoziweza tu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji85]

Sitaki mpnz wangu ateseke
[emoji13] [emoji13] sasa mkuu si ni baraka,,
 
Kwa msg hii wale wote ambao hawako kwenye mikono ya wazazi wanaoweza kutoka kuanzia saa 2uck na kuendelea tukutane Ramada. Keki itakatwa kuanzia saa 3uck.
Karibuni wote.
Sasa ole wako nijikwatue kwatuu afu nije niwakose hapo ramada.

Happy birthday STUNTER Mungu akujalie birthday nyingine nyingi zaidi
 
Back
Top Bottom