Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Wow!! Nimefurahi pia,nilikuwa busy nafanya ile research tuliongeaπThank you my friend. Tumepoteana sana. Nimefurahi kukuona tena.
Ooh umefikia wapi? Ila wewe πππππWow!! Nimefurahi pia,nilikuwa busy nafanya ile research tuliongeaπ
Nimegundua uliyoyasema yana ka ukweliπ, yaliyomo yamo ila bado natafitiπOoh umefikia wapi? Ila wewe πππππ
Nimegundua uliyoyasema yana ka ukweliπ, yaliyomo yamo ila bado natafitiπOoh umefikia wapi? Ila wewe πππππ
Mpaka nimeyasahau. Kwa hiyo umewapitia wengi eeh? π π πNimegundua uliyoyasema yana ka ukweliπ, yaliyomo yamo ila bado natafitiπ
Wachoyo kama weweπ,nilipata volunteer mmoja tu kwa mbinde,bado nataka wawiliπMpaka nimeyasahau. Kwa hiyo umewapitia wengi eeh? π π π
π π π π eti wachoyo kama wewe. Wacha wee kwahiyo huko mambo ni fire. Hongera utanipa FeedbackWachoyo kama weweπ,nilipata volunteer mmoja tu kwa mbinde,bado nataka wawiliπ
πSi ndio we mchoyo, feedback ni lazima nkupe,we mwanangu sana japo maringo kibaoπ π π π eti wachoyo kama wewe. Wacha wee kwahiyo huko mambo ni fire. Hongera utanipa Feedback
Aah rafiki yangu. Ungejua sijuagi hata kuringa. Siwezi kukuringia rafiki yangu sana. Tuko pamoja sanaπSi ndio we mchoyo, feedback ni lazima nkupe,we mwanangu sana japo maringo kibao
We naweπ, ndio uniite rafiki mara zote hizoAah rafiki yangu. Ungejua sijuagi hata kuringa. Siwezi kukuringia rafiki yangu sana. Tuko pamoja sana
ππππππ»ππ»ππ»ππ» nikuiteje sasa jamani? Nimecheka eti mara zote hizo π π π π unataka uitwe babe?We naweπ, ndio uniite rafiki mara zote hizo
Ewaah, ndicho hiko nakupendea you're a smart woman !!!, Niite hivo hivo babeπππππππ»ππ»ππ»ππ» nikuiteje sasa jamani? Nimecheka eti mara zote hizo π π π π unataka uitwe babe?
Nyie nyie π π π π π unataka kunifunga eeh?Ewaah, ndicho hiko nakupendea you're a smart woman !!!, Niite hivo hivo babeπ
Hahaha sitaki Tena ma baby wa jf wallai.Huenda yupo tayari kuna new member za kumwaga. Kishakuja kivingine Chino na lazima mnase π π π π
Baadaye wapendwa, muda wa lunch karibuni.
Kukufungaje tena mrembo ?Nyie nyie π π π π π unataka kunifunga eeh?
Eid Mubarak Kapachino sema uko mbali, ningekuja huko ππππ Enjoy ur day Chino
Taqaballahu minna wa minkum
... tulikuliana kondooo mkuuu.. mwenye mkia mnene . unajua alafu nyama ya kondooo inawafanya warembo wawe watamu zaidi na warembooo zaidiii... ndio maana nilitaka huyo mnyamaaa ili mashangazi wetu wazuri wazidi kunogaaa πππ
Ankol kama Ankol ameshasema kondoo aliyenona π€π€π€π€π€ umeota tena Ankol hatariiii. Ulisema leo utakuwa Samaki samaki?... tulikuliana kondooo mkuuu.. mwenye mkia mnene . unajua alafu nyama ya kondooo inawafanya warembo wawe watamu zaidi na warembooo zaidiii... ndio maana nilitaka huyo mnyamaaa ili mashangazi wetu wazuri wazidi kunogaaa πππ
Bantu Lady Antonnia na leo nimewaotaaa yaaani ni π₯π₯π₯π₯