Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Wow!! Nimefurahi pia,nilikuwa busy nafanya ile research tuliongea😊Thank you my friend. Tumepoteana sana. Nimefurahi kukuona tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wow!! Nimefurahi pia,nilikuwa busy nafanya ile research tuliongea😊Thank you my friend. Tumepoteana sana. Nimefurahi kukuona tena.
Ooh umefikia wapi? Ila wewe 😂😂😂😂😂Wow!! Nimefurahi pia,nilikuwa busy nafanya ile research tuliongea😊
Nimegundua uliyoyasema yana ka ukweli😂, yaliyomo yamo ila bado natafiti😋Ooh umefikia wapi? Ila wewe 😂😂😂😂😂
Nimegundua uliyoyasema yana ka ukweli😂, yaliyomo yamo ila bado natafiti😋Ooh umefikia wapi? Ila wewe 😂😂😂😂😂
Mpaka nimeyasahau. Kwa hiyo umewapitia wengi eeh? 😅😅😅Nimegundua uliyoyasema yana ka ukweli😂, yaliyomo yamo ila bado natafiti😋
Wachoyo kama wewe😂,nilipata volunteer mmoja tu kwa mbinde,bado nataka wawili😂Mpaka nimeyasahau. Kwa hiyo umewapitia wengi eeh? 😅😅😅
😅😅😅😅 eti wachoyo kama wewe. Wacha wee kwahiyo huko mambo ni fire. Hongera utanipa FeedbackWachoyo kama wewe😂,nilipata volunteer mmoja tu kwa mbinde,bado nataka wawili😂
😂Si ndio we mchoyo, feedback ni lazima nkupe,we mwanangu sana japo maringo kibao😅😅😅😅 eti wachoyo kama wewe. Wacha wee kwahiyo huko mambo ni fire. Hongera utanipa Feedback
Aah rafiki yangu. Ungejua sijuagi hata kuringa. Siwezi kukuringia rafiki yangu sana. Tuko pamoja sana😂Si ndio we mchoyo, feedback ni lazima nkupe,we mwanangu sana japo maringo kibao
We nawe😂, ndio uniite rafiki mara zote hizoAah rafiki yangu. Ungejua sijuagi hata kuringa. Siwezi kukuringia rafiki yangu sana. Tuko pamoja sana
😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 nikuiteje sasa jamani? Nimecheka eti mara zote hizo 😅😅😅😅 unataka uitwe babe?We nawe😂, ndio uniite rafiki mara zote hizo
Ewaah, ndicho hiko nakupendea you're a smart woman !!!, Niite hivo hivo babe😍😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 nikuiteje sasa jamani? Nimecheka eti mara zote hizo 😅😅😅😅 unataka uitwe babe?
Nyie nyie 😅😅😅😅😅 unataka kunifunga eeh?Ewaah, ndicho hiko nakupendea you're a smart woman !!!, Niite hivo hivo babe😍
Hahaha sitaki Tena ma baby wa jf wallai.Huenda yupo tayari kuna new member za kumwaga. Kishakuja kivingine Chino na lazima mnase 😅😅😅😅
Baadaye wapendwa, muda wa lunch karibuni.
Kukufungaje tena mrembo ?Nyie nyie 😅😅😅😅😅 unataka kunifunga eeh?
Eid Mubarak Kapachino sema uko mbali, ningekuja huko 😄😄😄😄 Enjoy ur day Chino
Taqaballahu minna wa minkum
... tulikuliana kondooo mkuuu.. mwenye mkia mnene . unajua alafu nyama ya kondooo inawafanya warembo wawe watamu zaidi na warembooo zaidiii... ndio maana nilitaka huyo mnyamaaa ili mashangazi wetu wazuri wazidi kunogaaa 😊😊😊
Ankol kama Ankol ameshasema kondoo aliyenona 🤗🤗🤗🤗🤗 umeota tena Ankol hatariiii. Ulisema leo utakuwa Samaki samaki?... tulikuliana kondooo mkuuu.. mwenye mkia mnene . unajua alafu nyama ya kondooo inawafanya warembo wawe watamu zaidi na warembooo zaidiii... ndio maana nilitaka huyo mnyamaaa ili mashangazi wetu wazuri wazidi kunogaaa 😊😊😊
Bantu Lady Antonnia na leo nimewaotaaa yaaani ni 🔥🔥🔥🔥