Happy Birthday Chuma, happy birthday John Pombe Magufuli

Kauwa sana ndugu zetu Waislamu wakiwa ktk nyumba zao za Ibada, trh yake yakuzaliwa iwe namateso makali huko aliko' amin
 
Kheri ya siku ya kuzaliwa BABA MAGUFULI
 
Happy birthday Dr John Joseph Pombe Magufuli. !
Huko mbinguni ulipo unaendelea kufanya kazi ya kuliombea Taifa Kwa Mungu ukishirikiana na Baba wa Taifa.
Yani vichaa hamuwezi kuisha Tanzania, mtu aliyepo kuzimu tena motoni anaweza vipi kukuombea?

Hakuna mbingu wala pepo kwa wauwaji, wauwaji wote makazi yao ni Jehenamu.
 
Huyu Rais alikua wa kitofauti sana yeye aliitoa roho yake kwa ajili ya watu.

Kitu nilichojifunza Brother National adui wa mtu ni wa karibu sana anangoja uanguke akuonyeshe yeye ni nani na anasimama upande upi.
Hii nchi mafisi mengi. Kuja kupata mtu kama huyu itachukua miaka mingi sana,
 
Nyie wapumbavu tulishawaonya hapa kuwa huyo mungu wenu muuaji hatachukua round atakufa mkashupaza shingo mkaendelea kumjaza upepo.
Kiburi chake na jeuri yake imeisha mara moja.
He has dead a fool death like bird in trap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…