Happy Birthday Chuma, happy birthday John Pombe Magufuli

Makosa makubwa 2 uliyofanya Mzee
1. Kumuamini yule Bibi
2. Kuingiza wabunge wote wa CCM Bungeni.

Tunakukumbuka siku hizi Umeme mgao Maji Saidia Mungu.
 
Happy birthday Dr John Pombe Magufuli. Bado unaishi. Pumzika kwa amani. Taifa lazima litasonga mbele.
 
Yule Baba Alitufaa Alitumbua Majipu Mpaka Tumboni
Alikomesha wahuni waliokuwa wakifungulia maji kwenye mabwawa Ili kutengeneza tatizo la uhaba wa umeme Ili wauze mafuta na majenereta.

Ameondoka tu, mambo Yale Yale yamerudi.

Mungu yupo, Naamini wamezaliwa maelfu aina ya Magu, ni suala la muda tu.
 
A true son of the soil leo hii hata uswahilini Kuna lami na taa za barabarani ! Rest in power Magufuli
 
Nyie wapumbavu tulishawaonya hapa kuwa huyo mungu wenu muuaji hatachukua round atakufa mkashupaza shingo mkaendelea kumjaza upepo.
Kiburi chake na jeuri yake imeisha mara moja.
He has dead a fool death like bird in trap
Maneno ya kisho.g.a hayo
 
KAMA HUAMINI KUNA MUNGU WA MBI GUNI nkumbuke mungu wa dunian jpm?
Chuma kilitaka kiwe dio MUNGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…