Happy birthday cocastic

Happy birthday cocastic

Wivu wake tu
Hivi ndio hawataki kufungua ile ID?
Wamesema wanaifuta mimi niendelee na hii.
Kisa kantry alikuwa anajibizana na penseli, sasa Kantry akamuuliza penseli kwa nini unatumia id nyingine unaacha kutumia ile ya penseli? Penseli akasema id ya penseli imepigwa ban km ya ile ya cute wife ya miezi 3 akimaanisha id yangu. Ndio wazee wa kureport wakajibeba kwa mods kusema eti penseli kasema id ya cute wife ni yake. Na mods na mihemko yao wakaunganisha.

Niliwauliza hawana majibu ya kueleweka wameshikilia hiyo comment ya penseli. Nilijua wangeniletea ushahidi wa kueleweka labda wa email au IP address vyote hawana. Wananipa majibu mepesi tu
 
Wamesema wanaifuta mimi niendelee na hii.
Kisa kantry alikuwa anajibizana na penseli, sasa Kantry akamuuliza penseli kwa nini unatumia id nyingine unaacha kutumia ile ya penseli? Penseli akasema id ya penseli imepigwa ban km ya ile ya cute wife ya miezi 3 akimaanisha id yangu. Ndio wazee wa kureport wakajibeba kwa mods kusema eti penseli kasema id ya cute wife ni yake. Na mods na mihemko yao wakaunganisha.

Niliwauliza hawana majibu ya kueleweka wameshikilia hiyo comment ya penseli. Nilijua wangeniletea ushahidi wa kueleweka labda wa email au IP address vyote hawana. Wananipa majibu mepesi tu
Hee[emoji15]
Niliona tu wameiunga na ya penseli siku Ile ila sikujua kama hadi leo hawajazitenganisha.


Mi ningewaibukia ofisini kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hee[emoji15]
Niliona tu wameiunga na ya penseli siku Ile ila sikujua kama hadi leo hawajazitenganisha.


Mi ningewaibukia ofisini kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mods wanaendeshwa na mihemko na hiyo id ya penseli itakuwa ya mmojawao.
Sina muda wa kuwafata ofisini kwao kwani napata pesa nikiwa na hiyo id?! Tatizo member tunaogombana nao humu ni hao hao mods ktk vazi la ids nyingine. Sasa ya nini nijichoshe?! Watajijua wenyewe
 
Mods wanaendeshwa na mihemko na hiyo id ya penseli itakuwa ya mmojawao.
Sina muda wa kuwafata ofisini kwao kwani napata pesa nikiwa na hiyo id?! Tatizo member tunaogombana nao humu no hao hao mods ktk vazi la ids nyingine. Sasa ya nini nijichoshe?! Watajijua wenyewe
😂😂😂
Kwahiyo hapa nikiwaibukia nikawaambia Lamomy ni I'D yangu wataziunganisha🤣🤣🤣

Huyo mod atakuwa ni yule alifuta ngunyaji zetu
 
😂😂😂
Kwahiyo hapa nikiwaibukia nikawaambia Lamomy ni I'D yangu wataziunganisha🤣🤣🤣

Huyo mod atakuwa ni yule alifuta ngunyaji zetu
Na mimi niliwauliza swali hilo hilo wakakosa majibu. Nikawaambia id ya Maxence Mello ni yangu niunganishieni 😂😂😂
Mods wana maujinga mengi!! Tatizo na wao wana ids zao tofauti na wanazotumia.
 
Na mimi niliwauliza swali hilo hilo wakakosa majibu. Nikawaambia id ya Maxence Mello ni yangu niunganishieni [emoji23][emoji23][emoji23]
Mods wana maujinga mengi!! Tatizo na wao wana ids zao tofauti na wanazotumia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unabishana na id yake ya kuchatia anakuja kukukomesha[emoji1787]

Sema wamekuonea sana asee
Ndo ukaungwe na penseli kweli![emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unabishana na id yake ya kuchatia anakuja kukukomesha[emoji1787]

Sema wamekuonea sana asee
Ndo ukaungwe na penseli kweli![emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo kuna mod inaonekana ana id yake ya kuchambana huku tulikwaana, sasa kaamua kulipiza ili kunikomesha 😂😂😂

Eti shangaa na wewe wakaniunge na penseli?! Unajua haingii akilini kabisaaa!!
Kuna wajinga walifurahi, haikupita muda Penseli akaibuka na id nyingine yuko kuwatukana mods 🤣🤣🤣🤣

Na mimi nikawatag waje kuona mitusi yao wanayorushiwa na Penseli mana huwa hajifichi tone yake ya uandishi.
Wakaishia kufuta 🤣🤣🤣
 
Ndio hivyo kuna mod inaonekana ana id yake ya kuchambana huku tulikwaana, sasa kaamua kulipiza ili kunikomesha 😂😂😂

Eti shangaa na wewe wakaniunge na penseli?! Unajua haingii akilini kabisaaa!!
Kuna wajinga walifurahi, haikupita muda Penseli akaibuka na id nyingine yuko kuwatukana mods 🤣🤣🤣🤣

Na mimi nikawatag waje kuona mitusi yao wanayorushiwa na Penseli mana huwa hajifichi tone yake ya uandishi.
Wakaishia kufuta 🤣🤣🤣
Yaani walikuonea sana jamani
Ndio wakakuunge na penseli kweli!🤣
 
Yaani walikuonea sana jamani
Ndio wakakuunge na penseli kweli!🤣
Kwanza penseli muda wote tulikuwa tunaparuana, mara anitag kwenye nyuzi za zamani za kantry ili nipanic 🤣🤣🤣
Basi ilikuwa tafrani tupu!!! Mods wa Mello wamenikosea sana!!
 
Kwanza penseli muda wote tulikuwa tunaparuana, mara anitag kwenye nyuzi za zamani za kantry ili nipanic [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi ilikuwa tafrani tupu!!! Mods wa Mello wamenikosea sana!!
Yule kichwa chake anakielewa mwenyewe
Sijui ana shida gani aisee

Hizo id zake zikirudi anatukana kila mtu[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule kichwa chake anakielewa mwenyewe
Sijui ana shida gani aisee

Hizo id zake zikirudi anatukana kila mtu[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ana ids hata mia zinafika aisee!! Na akifika tyuu anaanza na dislikes 😂😂😂😂
Akitoka hapo mitusi inaanza, kuna muda mpk nawaza atakuwa ni mod. Haiwezekani mtu mmoja dk kaingia na id mpya inapewa ban, kaibuka na nyingine.
 
Lamomy and Saint Anne.
Don't fight meaningless battles. Not every opinion is worth your energy. Know who you are and that's enough. You don't have to explain yourself to people who aren't adding value to your life.
 
Lamomy and Saint Anne.
Don't fight meaningless battles. Not every opinion is worth your energy. Know who you are and that's enough. You don't have to explain yourself to people who aren't adding value to your life.
Mkuu,tunahitaji uje selfika utuwekee kaselfie japo kamoja tu tukuone Mr Milk supplier 😂
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Back
Top Bottom