Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepotea mno hadi nakusahau😂😂Nadhani sijachelewa
Alaf wewe Saint Anne kwa nini hujanitag hapa? Una kesi ya kujibu
Mama mchungaji Heaven Sent Happy Birthday kwako🎂🎂
Mungu akupe umri mrefu zaidi
Aisee tuombe uzima mdogo angu; naamini kuna siku tutakaa meza moja na kuongea kwa kirefuuu. Mungu aendelee kuibariki na kuitunza familia yako. Keep on enjoying your marriage; and rejoicing in the man of your youthAsante sana dadangu. My dream is one day to see you in person. With my family. God used you to save us; and we will be eternally grateful to you. Ubarikiwe mpaka ukinai 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
View attachment 2850037
Ahsante sana Smart911Kila la kheri kwenye siku yake ya kuzaliwa...
Binamuuuuuuuu. Nakupenda sana ndugu yanguShe is one in a million,Mimi nampenda sana huyu bimdashi
Jamani naamini nilikujibu vizuri eeh (positive). Nashukuru sana @Pendaelli🙏🙏🙏Heaven Sent alikua na mchango positive sana hapo awali, ulikua ukisoma comment yake lazima uirudie mara mbili mbili, sikumbuki ule uzi lakini kuna jinsi alinijibu ile comment nili screenshot bahati mbaya simu hizi hatudumu nazo.
Ubarikiwe sana Heaven Sent mpo wachache sana ambao jamii haikosi kujivunia kwa ajili yen
Happy birthday, zidi kuwa jinsi ulivyo na Mungu akubarikie sana.
Hujachelewa kabisa nkamu. Ahsante sana Mr vochaNadhani sijachelewa
Alaf wewe Saint Anne kwa nini hujanitag hapa? Una kesi ya kujibu
Mama mchungaji Heaven Sent Happy Birthday kwako🎂🎂
Mungu akupe umri mrefu zaidi
Ahsante sana MidekoHappy birthday 🎂🎂
Thank you momma.[emoji3059][emoji3059][emoji3059]Happy Birthday my baby girl.
Asindikizie wish na vochaHujachelewa kabisa nkamu. Ahsante sana Mr vocha
Ulinijibu vizuri mpaka leo sijasahau na kujisahau, barikiwa sana.Jamani naamini nilikujibu vizuri eeh (positive). Nashukuru sana @Pendaelli[emoji120][emoji120][emoji120]
Hahahaha nkamu apite tu na naked ya dk moja shwaaaaaaAsindikizie wish na vocha
Mr mivocha😂😂😂😂
Oooh nimefurahi kusikia hivyo. 🙏🙏🙏Ulinijibu vizuri mpaka leo sijasahau na kujisahau, barikiwa sana.
Aunt junior ahsante sana kipenzi.Happy birthday dadayangu mwenye rohoyako ya dhahabu
Heaven Sent
Kweli aiseeHahahaha nkamu apite tu na naked ya dk moja shwaaaaaa
🥰Aunt junior ahsante sana kipenzi.