Cocaaaaa this means a lot dear; Happy belated birthday to you too. Bado nachechemea ila inshallah nitafika tu mbali. Aisee nahisi most of us Sagittarians (including you) are blunt; we don't sugar coat things.Heaven Sent
Mama maleziiii, happy belated[emoji512][emoji512][emoji512].
Ishi maisha marefu na ya barakaa teleee.
Kuna kitu unacho na umefika mbali tayariii.
Kikubwaa ni hiviii coca amefaidika sana na wee, napokupenda sasa wee sio MNAFIKII.
Ishii mama maleziii, huna bayaaaa.
[emoji8][emoji8][emoji8]
Teh shikamoo vocha za nkamuKweli aisee
Apite tu na naked
Habari za vocha zilitaka kutoa watu roho hivihivi tunaonaπ€£
Fijho naloli!Yaani nkamu (naamini ni mnyaki kwa hiyo surname) nipo nabhulunguka huku (in Eliud's voice). My heart is full of gratitude... I am humbled by your words
Haki nimekuwa surprised; maana nimekimbilia kuangalia ID, nikabaki kushangaa as sio familiar sana kwangu. Ahsante kwa funzo ulilonikumbusha siku yangu leo; "Maandiko yanaishi". Lakini kubwa zaidi tukipata nafasi ya kutenda vyema; basi tusisite hata kidogo. Imagine niliandika tu kwa passion yangu, pasipo kujua kuwa ninachokiandika kinakwenda kugusa na kuponya moyo wa mtu. Aiseee January kwa neema na kibali Cha Mungu; nitarudi tu niendelee na magazeti yangu. Who knows labda mwingine ataguswa na maandiko yangu na kupona. "Life worth living, and a Legacy Worth Leaving". Ubarikiwe sana ndugu yangu; umeugusa sana moyo wangu leo.....
Ahsante sana mdogo angu. KitamboMiaka mingi Dada mkubwa michango yako ilituvutia wengi.
Ndaga nkamuFijho naloli!
Naamini tutaonana siku moja.Aisee tuombe uzima mdogo angu; naamini kuna siku tutakaa meza moja na kuongea kwa kirefuuu. Mungu aendelee kuibariki na kuitunza familia yako. Keep on enjoying your marriage; and rejoicing in the man of your youth
Paragraph ya 2 mama maleziii, imenikoshaaa mnoooo.Cocaaaaa this means a lot dear; Happy belated birthday to you too. Bado nachechemea ila inshallah nitafika tu mbali. Aisee nahisi most of us Sagittarians (including you) are blunt; we don't sugar coat things.
Sema nini mdogo angu; I adore your maturity; big time. Mtoto mdogo ila una upeo na busara ya kuona na kung'amua mambo kama mhenga mwenye busara vile. Utafika mbali; Jah aendelee kukuongoza...
Please naomba unitafute PMNaamini tutaonana siku moja.
Mungu Akulinde please.
Mwaka mpya huu ukaje na new blessings kwako, hubby, the kids na kila mtu anayefahamiana nawe. Kwamba ukafanywe kuwa chemchemi (oasis) ya busara, encouragement na positivity katika jangwa la wahitaji katika saa ya kupungukiwa kwao. Tuombeane dadangu. Hujui tu ππΏππΏππΏβ€οΈβ€οΈβ€οΈ
Wow wow wow.Happy Birthday, Mama Mchungaji πΈ On this special day, I just want to celebrate the beautiful light you bring into the world. Your kindness, wisdom, patience, understanding, forgiveness, genuineness, friendship and loving heart touches everyone around you. You have a gift for lifting others up and unconditionally guiding them with such humility, grace and clarity even on their darkest moments in life. May this new year of life bring you as much peace and joy as you so selflessly give to others. Wishing you and your loving family God's endless blessings and joy; today AND ALWAYS. THANK YOU !!!ππΏππΏππΏ
View attachment 3182027
Pm umegoma kufungua!Happy birthday Sis...thank you for your boldness on things that matters. May you know joy always. Love you π
"Changamoto" eeeh! πWow wow wow.
This means a lot "changamoto".. I truly appreciate. Ahsante sana Mtumishi.. Nimebarikiwa sana sanaaa. AMENπ
Is this you, my "miss intelligent"?Happy birthday Sis...thank you for your boldness on things that matters. May you know joy always. Love you π
Nipo hapaEvelyn Salt na Demi njoo niwachokoze π