Happy Birthday Davet[emoji847]

Happy Birthday Davet[emoji847]

Hahah nimeona kuna sehemu umekuja kuniswaga kabisa.......... Nilipata dharula kidogo ndio maana sikuwa kwa wakati
Aaaahhh basi sawa, hakijaalibika kitu mtalaam!!

Siku nyingine haabr kam izi njema uwe Nazo active.

Mie sijawahi wishiwa na mdada wa JF km ww ivi
 
Nikweli boss huwezi kutupwa na wote
Ewaaa nahuo ndo Ukomavu Boss wangu !!

Mtu mmoja anaitwa Nick Vujicic anasema " outside there, therz someone who love you, believe you, Trust you ,simply because the way you are "
 
Hahah! Sawa boss ila ipo siku uitawishiwa tu ni swala la muda
Izi zakufos zinakosaga mzuka.

Raha nikama hiiyako...Kwanza umekumbukwa na
[emoji117]Mdada kama anavyojiita Ledada, anaonekana nilidada bonge ivi, litamuuu. Limejaa jaa, linadeka yaaan uwii


mpaka inatia hamasa..
 
Back
Top Bottom