cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahSipendi [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahSipendi [emoji23][emoji23][emoji23]
Unafiki kwako wee, mxxxieeeew.Ishi sanaaa, huna bayaa.
Hili neno limekaa kinafiki sana wakulungwa[emoji23]
Tatizo tunaomtaka tupo wengi sana, akitukubalia wote atakuwa ni kahaba, hivyo lazima achague mmoja na sie wengine tuendelee kusubiri kama tutapata ngekewa ya kuonja karamu ya bwana. Depal mimi sikuwish happy birthdayNinaye rafiki hapa jamvini ambaye sijawahi kuonana naye wala kusikia sauti yake lakini tunawasiliana kupitia PM.
Ninamtakia heri ya kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa. Naamini kwa wema wa Mungu ipo siku ataachia namba niweze kumuendea hewani.
Happy Birthday Depal , ishi maisha marefu yenye afya na furaha tele.
Nikawapangaje tena jamani msukuma wewe?
😄😄 nasubiri order ya kuagizwa kwenye ile supermarket yetu 🥰🥰Kwa hiyo ulijua kabisa dadako sina hata mia ya kukununulia kamvinyo[emoji485]sio??
Anyway unajua dadako nakupenda hivyo hivyo na maringo yako[emoji3590]
Nakutakia maisha yenye mafanikio makubwa kwenye nyanja zote za kimaisha, zaidi sana upate maheraaa nikija A town tuishi[emoji12]
HBD mrembo wangu@Depal[emoji512][emoji1635]
Kama umekua jiandae, coming soon babe!!😄😄 nasubiri order ya kuagizwa kwenye ile supermarket yetu 🥰🥰
Nimekuwa sasa, maringo nimeacha 🤣
Tupate mahelaa ya kuishi popote 😜😜
Nakusubiri unipeleke kulisha Simba majani 🥰
Thank u beautful sis 🙏
ILY 😍💕💜💋
Ban Tena?!!!Thanks sana rafiki,, mtu poa sana weye.
Tuendelee kubarikiwa sote [emoji1635][emoji120][emoji177]
Waliniotea 😂😂
Walini ban kabla sijakujibu my dada 😂😂😂Kama umekua jiandae, coming soon babe!!
Karibu tena 😘Walini ban kabla sijakujibu my dada 😂😂😂
Mod wabayaa
Hiyo Avatar vipi??Karibu tena 😘
Nimeamua 🤗Hiyo Avatar vipi??
😂😂😂😂😂😂😂 EmbuuuuuNinaye rafiki hapa jamvini ambaye sijawahi kuonana naye wala kusikia sauti yake lakini tunawasiliana kupitia PM.
Ninamtakia heri ya kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa. Naamini kwa wema wa Mungu ipo siku ataachia namba niweze kumuendea hewani.
Happy Birthday Depal , ishi maisha marefu yenye afya na furaha tele.
Birthday yako lini??Kula mboga za majani kwa sana
Nimeshtuka,😂😂😂😂😂😂😂 Embuuuuu
pMtoto ana jicho hilo,
Dimpoz Mashallah
Kapua kadogo utadhani havuti hewa
Rangi mnyoosho, haisikii tabu za ulimwengu
Sikio lenye kukubali hereni mpaka mabangili
Nywele fupi zinampendeza, zisizo kipilipili
Shingo nyoofu inayokubali cheni za kila aina
Mamaeee, Naomba namba aisee