Kurutu wa Mungu
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 366
- 578
Huyu akifa sizani kama familia yangu itasikitikaNdugu wana JF leo ni siku ya kuzaliwa ya Rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Magufuli, anatimiza miaka miaka 61. Bila kujali itikadi zetu za kisiasa tuungane wote kumtakia heri ya siku ya kuzaliwa Rais wetu Dr. Magufuli.
View attachment 1615271
Na Mungu akuzidishie maisha marefu ili ututawale vizuri na kuinyoosha hii nchi kwa miaka mingine 15 ya ziada au milele.Ndugu wana JF leo ni siku ya kuzaliwa ya Rais wetu mpendwa Dr. John Pombe Magufuli, anatimiza miaka miaka 61. Bila kujali itikadi zetu za kisiasa tuungane wote kumtakia heri ya siku ya kuzaliwa Rais wetu Dr. Magufuli.
View attachment 1615271
kwani barabarani kunasemajeWema wanaishi maisha mafupi, waovu wanaishi maisha marefu
Nipo zamu leo huku Lumumbakwani barabarani kunasemaje
Happy Birthday Rais wetu na Hongera sanaaaaaa
π π π π π
Kashashinda kweupe
Ni aibu kuzaliwa siku moja na huyu mtu bora sipo nyota moja nae maana duh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona ushaanza kukata mauno hata chumbani haujaingizwa...
Chuki ipo kwenu nyinyi.. Kumbe vile mkiona wapinzani bungeni roho ilikua inawauma si ndio !chuki ya nini bro?halafu ukute hata kura hukupiga
Hivi kwa nini Marais wastaafu Wakristu wanakufa mapema sana kuliko wenzao Waislam?Leo ni siku ya kuzaliwa ya ndugu John Pombe Magufuli.
#Ni tarehe 29 oktoba ya NEEMA Tele.