Happy birthday Dkt. Magufuli-Pongezi kwako!

Happy birthday Dkt. Magufuli-Pongezi kwako!

Hivi kwa nini Marais wastaafu Wakristu wanakufa mapema sana kuliko wenzao Waislam?

Ni swali tu nothing personal...
Wizi wa wake za watu na hasa wake wa wasaidizi wao, ndiyo chanzo kikuu! Na hivyo mara nyingi huishia kutegewa MATEGO ya kila aina!

Hao wengine dini inawaruhusu kumiliki zaidi ya mke mmoja! Na hivyo kupunguza hatari ya kuanguka kwenye hayo MATEGO.

Kwa maelezo zaidi huyu jamaa anaweza kufafanua zaidi. Mshana Jr.
 
Hapo kwenye birthday glass mmejaza damu za watu mnasheherekea , damu za mliowaua zinawakata kiu au vipi ?
IMG_20201027_223458.jpg
IMG_20201027_223502.jpg
IMG_20201027_223505.jpg
IMG_20201027_223631.jpg
 
Wizi wa wake za watu na hasa wake wa wasaidizi wao, ndiyo chanzo kikuu! Na hivyo mara nyingi huishia kutegewa MATEGO ya kila aina!

Hao wengine dini inawaruhusu kumiliki zaidi ya mke mmoja! Na hivyo kupunguza hatari ya kuanguka kwenye hayo MATEGO.

Kwa maelezo zaidi huyu jamaa anaweza kufafanua zaidi. Mshana Jr.
Kifo ni mpango wa Mungu ni siri ya muumba na binadamu wake.

Nyerere alikufa kwa kansa ya Leukemia aliyoipata Butiama akilima kilimo cha kizamani, aliivuta mbolea kwa pua yake wakati wa mchakato wa kuiweka shambani.

Mkapa ni heart attack ilimuua, JPM alikuwa mgonjwa wa moyo kabla hata hajawa Rais. Wakristo tunakunywa pombe kuanzia vijana na tukifika uzeeni viungo vimeshachoka.

Kikwete hanywi pombe na anakwenda gym siku moja moja, anajitunza akiwa mzee anayeijua dunia inakwenda vipi.

Mwinyi alikufa na miaka 98, maishani mwake kila siku asubuhi alikuwa anatembea na ilimsaidia sana.

Samia anafanya mazoezi na hanywi pombe, mwanamama wa kizenji.
 
Back
Top Bottom