Magufuli 05
JF-Expert Member
- May 7, 2023
- 1,433
- 2,791
Asanteni Watanzania kwa kunikumbuka. Najua mnapitia wakati mgumu Sana. Nawaomba Watanzania shikamaneni ili 2025 mkayashinde majizi na mafisadi. Wekeni maslahi mbele ya taifa. Lakini Watanzania nilijua msaidizi wangu alikuwa dhaifu na ndiyo maana sikuwa namshirikisha mambo mengi.Kheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
View attachment 2796513
Amina🙏🙏🙏Mungu ampe pumziko jema
Sia ajabu atafanya hivyo, yaani kuja kukataa posti zake.Huna akili ukiwa Mzee utakuja kukataa post zako
RIP Kamanda wetuKheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
View attachment 2796513
He stung like a scorpion, which is/was his zodiac symbol.A leader with a steely resolve, the unyielding and outspoken Magufuli was loved and loathed in equal measure
Wewe huna marindaHuna akili ukiwa Mzee utakuja kukataa post zako
Endelea kupumzika kwa AMANI BABA.Kheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
View attachment 2796513
Mwite mwanao magufuli alafu uone balaa lakeKama sio Leo basi ni kesho, Hayati Magufuli hatokuwa jina la mtu tu bali neno lenye maana kamili kwenye Kamusi. Niliwahi kusema Magufuli ndio atakuwa mgombea 2025 na atashinda hata kama hayupo, na yeyote atakayetaja jina la Magufuli kwenye kampeni zake atashinda Kwa kishindo iwe ni Upinzani au CCM. Happy Birthday Mr. President
Eti naye alijaribu kuiba kama maccm wenzie akaenda kuficha Hela chato,jamaa lilikuwa lishamba sanaMuimbieni happy birthday shujaa wenu bana mbona mnamsahau mapema sana hivi?
===
View attachment 2796633
October 29, 1959: John Magufuli was born in Chato. He was a chemistry and maths teacher before joining politics. In 1995, he was elected Member of Parliament and later became a cabinet minister and President of Tanzania in 2015.
A leader with a steely resolve, the unyielding and outspoken Magufuli was loved and loathed in equal measure
He died in office from a heart illness on March 17, 2021
Tanzania Business Insight
64 Happy heavenly birthday.Shida ya kuvuta ugoro ukubwani...kwahiyo leo katimiza miaka mingapi
Who loathed Magufuli?Muimbieni happy birthday shujaa wenu bana mbona mnamsahau mapema sana hivi?
===
View attachment 2796633
October 29, 1959: John Magufuli was born in Chato. He was a chemistry and maths teacher before joining politics. In 1995, he was elected Member of Parliament and later became a cabinet minister and President of Tanzania in 2015.
A leader with a steely resolve, the unyielding and outspoken Magufuli was loved and loathed in equal measure
He died in office from a heart illness on March 17, 2021
Tanzania Business Insight
Nisingeona post yako ningeachana kabisa na JF!Happy birthday shujaa hata Mbowe analijua hilo