Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia ccm inategemea kura za wananchi kushinda Urais?na yeyote atakayetaja jina la Magufuli kwenye kampeni zake atashinda Kwa kishindo iwe ni Upinzani au CCM.
Mbona chato kwenye maadhimisho mlikua hamfiki 100? Wanafiki tu hamna loloteCha ajabu ni kwamba yeye kumbukumbu lake bado lipo, tunamkumbuka kama shujaa!
Una ujumbe gani kwa wakristo wanaoadhimisha kuzaliwa kwa mkombozi wao Yesu tarehe 25/12 kila mwaka ?Mfu nae ana pongezwa siku aliozaliwa sasa si muende mkajilaze ale chato pembeni yake mumpongeze vizuri 😂😂😂😂
Chadema mmeshindwa kujenga ofisi ya makao makuu, tukiwauliza mnasema mnajenga chama mioyoni mwa wanachama wenu; kuna ubaya gani sisi kumuenzi shujaa wa taifa mioyoni mwetu? Kwa taarifa yako, hata wasiompenda kama wewe wanaweza kwenda Chato!Mbona chato kwenye maadhimisho mlikua hamfiki 100? Wanafiki tu hamna lolote
Kwa taarifa yako, hata wasiompenda kama wewe wanaweza kwenda Chato!
Wakristo na waislamu wote ni wale wale bado wanatukuza wafu haya mambo ya mapokeo yametukumba vibaya mnoUna ujumbe gani kwa wakristo wanaoadhimisha kuzaliwa kwa mkombozi wao Yesu tarehe 25/12 kila mwaka ?
Au yeye sio mfu!
Na ukiwabana sana utaskia yesu alifufuka au mtume alipaa 😂😂😂😂 stori za kufikirika kabisaUna ujumbe gani kwa wakristo wanaoadhimisha kuzaliwa kwa mkombozi wao Yesu tarehe 25/12 kila mwaka ?
Au yeye sio mfu!
alilindwa mpaka na wanyarwanda lakini waaaapiiiiKheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
View attachment 2796513
[emoji27]R.i.P Classmate...[emoji26]
Linamtesa nani? Acheni kumpa umuhimu asiokua nao!!R.I.P mwamba JPM!
Umeondoka bali nyuma umeacha Jina!
Jina linaloendelea kuwatesa wale waliochukia mafanikio yako!
Jina lililoshindikana kuchafuliwa mbele ya macho ya Raia wako!
Asante kwa uzalendo wako!
Mbele yetu yu aja atakayefuata nyayo zako!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hapi basdei jiweKheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
View attachment 2796513