Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Soma kwanza kichwa cha habari ndo utapata uelewa sawaYaani mtu ni marehemu halafu unamtakia heri ya kuzaliwa kwake!!
Soma kwanza kichwa cha habari mkuu ndo utaelewaRekebisha heading!!
Kwamba anaweza kujibu comment za wanaomwish happy birthday?
Dah ashukuriwe sana Mungu kutuondoshea balaa lile.Happy Birthday mwamba, my daughter’s Bd too 2dy
Huyu Baba JamaniKheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
View attachment 2796513
Hii Bhaghosha SanaHbd mwamba
Alikuwa mwamba huyuHuyu Baba Jamani
Alitufanyia Kazi Kweli Kweli
Una maana "birthday" ama "deathday"!? Unawezaje kum-wish "happy birthday" mtu mfu asiyeweza kuhisi kitu chochote kile akiwa nje ya nafsi hai!? Pengine tutafakari pamoja nukuu ifuatayo kutoka katika kipande cha maandiko matakatifu kuhusu mtu ambaye amekwisha kufa.Kheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
View attachment 2796513
Furaha ya kawaida ndio ikoje?Dah ashukuriwe sana Mungu kutuondoshea balaa lile.
Sasa hv limebaki historia tu na nchi imerudi ktk furaha ya kawaida
Sasa hiyo 🖕ndiyo post gani?To hell
Cha ajabu ni kwamba yeye kumbukumbu lake bado lipo, tunamkumbuka kama shujaa!hata kumbukumbu lao limesahauliwa kabisa.