Happy birthday Hazard fc

Hahaha mambo yenu huko dar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siku ya jana nimekaa tu ndani,, sijatoka nje,, nashkuru ilikuwa weekend,, ingekuwa siku ya kazi hakika ingekuwa soo,, ila kuna mpuuzi mmoja ananiwinda kishenzi,,, huyu najua kesho ataniharibia siku
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siku ya jana nimekaa tu ndani,, sijatoka nje,, nashkuru ilikuwa weekend,, ingekuwa siku ya kazi hakika ingekuwa soo,, ila kuna mpuuzi mmoja ananiwinda kishenzi,,, huyu najua kesho ataniharibia siku
Hahaha huko dar mnamambo mengi sana..nikiwa mkubwa nataka nije kuishi huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…