Happy Birthday Heaven Sent

Haha haha walitutengeneza mnoo.. [emoji23] [emoji23] [emoji23] demi akanisababishia niwe najihami tu, kila nikimuona wife yuko busy na simu najua Hapa najibiwa Mimi kunako jukwaaa [emoji119] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] demi ni tatizo sana
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mambo si ndio hayo sasa!
Hakika tulijifunza mengi jinsi ya kuishi na wenzetu[emoji120] [emoji120]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
demi sijui kapotelea wapi jamani!!!
Ni muda sana nimemuona kwa mara ya mwisho.Muhimu kuadimika kwake kuwe kwa kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…