Happy birthday Jakaya Mrisho Kikwete

Happy birthday Jakaya Mrisho Kikwete

Niliwahi kumsikia Gwajima akisema Kikwete anaweza akakuchinja huku anatabasamu sijui alikuwa ana maana gani huyu mshenga
 
Leo Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete anatimiza miaka 70. Mimi binafsi namkumbuka kwa mambo machache aliyoyafanya:
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. Julius Nyerere International Airport terminal III.
8. Dar es salaam Rapid Transport-DART (Mwendo kasi).
9. Sekondari za Kata nchi nzima, kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria.
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa Hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha.
17. Dangote Cement industry
18. Bomba la gesi Mtwara to Dar
19. Hospitali ya Moyo
20. Hakuna watu wasiojulikana.
21. Hakuna mfanyabiashara kufilisiwa.
22. MOI
23. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami, zaidi ya km 14000 zilijengwa nchi nzima.
24. Ujenzi wa Mkondo wa taifa wa mawasiliano, leo tunajimwambafai na internet.
25.Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi Julai.
26. Ajira kila mwaka.
27. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
28. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu.
29. Demokrasia iliyopevuka, na alisema kuwa, hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, siyo kwa kipigo cha Polisi.
30. Atleast tulikula-kula bata, yaani enzi hizo laki si pesa!! [emoji122][emoji120]
Hongera CCM kwa kufanya yote haya mazuri. CCM mbele kwa mbele tarehe 28 Oktoba. Kura zetu tena kwa CCM
 
Hakika JK alifanya, tena mambo tangible sana. Sema nini, alitukanwa mno, tena sana. Kumbe haijalishi watu umewafanyia nini, mwisho hawaridhiki tu kama asili ya binadamu ilivyo.

Alifanya yote hayo then wafipa wa ufipani wakaishia kusema wanataka dikteta, woooooi! You got what you wanted and now, everyone is crying, wanasema "be careful what you wish for". So, ngoja tuburuzwe coz it was our wish.
Umenikumbusha Mnyika aliposema JK ni rais dhaifu sana.
 
Leo Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete anatimiza miaka 70. Mimi binafsi namkumbuka kwa mambo machache aliyoyafanya:
1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma
6. Hospitali ya Mloganzila
7. Julius Nyerere International Airport terminal III.
8. Dar es salaam Rapid Transport-DART (Mwendo kasi).
9. Sekondari za Kata nchi nzima, kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria.
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa Hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha.
17. Dangote Cement industry
18. Bomba la gesi Mtwara to Dar
19. Hospitali ya Moyo
20. Hakuna watu wasiojulikana.
21. Hakuna mfanyabiashara kufilisiwa.
22. MOI
23. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami, zaidi ya km 14000 zilijengwa nchi nzima.
24. Ujenzi wa Mkondo wa taifa wa mawasiliano, leo tunajimwambafai na internet.
25.Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi Julai.
26. Ajira kila mwaka.
27. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
28. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu.
29. Demokrasia iliyopevuka, na alisema kuwa, hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, siyo kwa kipigo cha Polisi.
30. Atleast tulikula-kula bata, yaani enzi hizo laki si pesa!! [emoji122][emoji120]
Lisu atakwambia yote haya ni maendeleo ya vitu
 
Ni kweli huwezi kuajiri wahitimu wote lkn kipindi cha JK alikuwa anatoa ajira 13,000 kwa wahitimu (walimu) kila mwaka kwahiyo ilikuwa ni vigumu kuwakuta wahitimu (walimu) wanazagaa mitaani. Ila kwa awamu hii ni nuksi tangu 2015- 2020 ndiyo inatoa ajira. Waliohitimu 2015 - 2020 ni km 72,0000 na zaidi halafu ajira zenyewe 13,000. Hata sijahangaika kutuma maombi

Ila jamani tuseme yote kwa idadi ya wahitimu wa vyuo vikuu kwa sasa kusema wataajiliwa wote na serikali ni ngumu sana
 
Happy birthday Mr Mrisho,bila we we kuichalia demokrasia sijui kina Halima,sugu,Lema,haule,nasari angewajua nani,
Leo Kitaa nachokaa siwajui atAwagombea wenza wa upinzan.Happy born day Rais mstaafu
 
Kipindi nipo mafinga jkt (841 kj) mwaka fulani (between 2011-2016) Kuna mwanajeshi mmoja alikuwa daktar katika zahanati ya pale kikosini alisema "HII NCHI INAHITAJI DIKTETA"

Kudadadek ona hali ilivyo Sasa[emoji23]

Ni kweli wengi tulihitaji kadikiteta kadogo na bado tunahitaji iwe hivyo ili inchi ipate kurudi kwenye mstari ulionyooka lakini bahati nzuri Mungu akatusikia na kutujaalia ktk ombi letu na kutujazia mpaka masesa, je hapo pana makosa?
 
Ila jamani tuseme yote kwa idadi ya wahitimu wa vyuo vikuu kwa sasa kusema wataajiliwa wote na serikali ni ngumu sana
Ni ngumu sana kwa ukweli mkuu.

1/. Kama uwezekano wa kuajiliwa Haupo, nini lengo LA wahusika?

2/. Je, kuna lengo thabiti LA kupunguza Hili tatizO LA. ajira?

3/. Kuna mambo huwa yanafanyika Kama mtaji wa kisiasa,
Je, Hili ni mojawapo?
 
Sisi tunaangalia mazuri ya mtu akiwa hai, akiwa madarakani, that's how we should roll. Lakini mkuu tulitaka dikteta, refer speeches za Mnyika na Dr. Mihogo.
Huwezi kuangalia mazuri ya mtu wakati yupo madarakani kwa sababu kuna mengi yanakuwa yamejificha na hayaonekani kwa sababu atakuwa anayafunika!

Mfano mzuri kabisa ni Serikali yaMkapa... RIP Mkapa lakini alifikia kujiita Mr. Clean, na watu wakaamini ni Mr. Clean!!

Ile kuja kutoka madarakani sasa... salale!!!

Tukakuta:-1
1. Kaanzisha AnnBen Company wakati yupo Ikulu
2. Kajiuzia mgodi wa Kiwira,
3. Pesa za EPA,
4. Kagoda
5. Mereremeta,
6. Deep Green

Hayo ni machache tu ya hovyo na kuchefua ambayo yalifanyika under Mkapa Administration lakini hayakufahamika kwa sababu pamoja na Mkapa kujinadi alikuwa ni mtu wa Uwazi na Ukweli lakini serikali yake haikuwa ya uwazi kihivyo!!!

Tukija hoja ya dictatorship, mimi ni mmoja wa watu ambae niliandika zaidi ya mara 3 kuhusu hilo! Lakini binafsi sikutak Rais Dikteta bali nilitaka Dictatorship Constitution itakayowanyoosha watu!

Kuna tofauti kubwa sana kati ya Dictatorship President na Dictatorship President!

Naamini hata hao waliokuwa wanasema wanataka Rais Dikteta walikuwa wanashindwa tu kutofautisha kati ya Rais Dikteta na Katiba ya Kidikteta kwa sababu hakuna mtu in a right mind anaweza kutaka Rais Dikteta wakati Katiba inahubiri Rules of Law!!

Lakini unapokuwa na dictatorship constitution tayari a dictatorship elements inakuwa a part of the law of laws... na muhimu zaidi, inakuwa ni mambo ambayo watu wamekubaliana how to handle different things sio haya ya Magu ya kufanya maamuzi kutegemea na ameamkaje!!!
 
Huwezi kuangalia mazuri ya mtu wakati yupo madarakani kwa sababu kuna mengi yanakuwa yamejificha na hayaonekani kwa sababu atakuwa anayafunika!

Mfano mzuri kabisa ni Serikali yaMkapa... RIP Mkapa lakini alifikia kujiita Mr. Clean, na watu wakaamini ni Mr. Clean!!

Ile kuja kutoka madarakani sasa... salale!!!

Tukakuta:-1
1. Kaanzisha AnnBen Company wakati yupo Ikulu
2. Kajiuzia mgodi wa Kiwira,
3. Pesa za EPA,
4. Kagoda
5. Mereremeta,
6. Deep Green

Hayo ni machache tu ya hovyo na kuchefua ambayo yalifanyika under Mkapa Administration lakini hayakufahamika kwa sababu pamoja na Mkapa kujinadi alikuwa ni mtu wa Uwazi na Ukweli lakini serikali yake haikuwa ya uwazi kihivyo!!!

Tukija hoja ya dictatorship, mimi ni mmoja wa watu ambae niliandika zaidi ya mara 3 kuhusu hilo! Lakini binafsi sikutak Rais Dikteta bali nilitaka Dictatorship Constitution itakayowanyoosha watu!

Kuna tofauti kubwa sana kati ya Dictatorship President na Dictatorship President!

Naamini hata hao waliokuwa wanasema wanataka Rais Dikteta walikuwa wanashindwa tu kutofautisha kati ya Rais Dikteta na Katiba ya Kidikteta kwa sababu hakuna mtu in a right mind anaweza kutaka Rais Dikteta wakati Katiba inahubiri Rules of Law!!

Lakini unapokuwa na dictatorship constitution tayari a dictatorship elements inakuwa a part of the law of laws... na muhimu zaidi, inakuwa ni mambo ambayo watu wamekubaliana how to handle different things sio haya ya Magu ya kufanya maamuzi kutegemea na ameamkaje!!!
Huwezi kuangalia mazuri ya mtu wakati yupo madarakani kwa sababu kuna mengi yanakuwa yamejificha na hayaonekani kwa sababu atakuwa anayafunika!
[emoji818][emoji818][emoji818][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534]
 
Tena alitukanwa mnooooo akanuka mzee wa watu mpaka akakonda watu wakasema tunataka rais asiyechekacheka, rais kauza nchi kwa wachina kwa ajili ya mwanae kukamtwa, rais nchi imemshinda dah bin Adam bwn
Hata kwa JPM itakuwa hivi hivi au zaidi.... ataliliwa Sana atakapoondoka
 
It is So obvious and So clearly decided now:

Nimesoma comments zote 900 katika Tweet ifuatayo ya Rais Kikwete na nimefikia hitimisho kuwa Magufuli hashindi Uchaguzi huu, watu wamechafukwa na kwa sababu ni Jakaya Kikwete naamini comments hizi nyingi ni za WanaCCM, ofcoz na chache ni za wafuasi wa Vyama vya Upinzani

MAGUFULI HASHINDI UCHAGUZI, LABDA AVURUGE UCHAGUZI HUU...na hilo Tuna Dawa yake

Soma comments:

Nawashukuru wote mlionitumia salamu na kunitakia heri kwa kufikisha umri wa miaka 70. Nimeelemewa na upendo wenu mkubwa mlionionyesha. Nawapenda sana.
 
 
Back
Top Bottom