Ngoja nikupe sifa baadhi za Jay Z alafu umpime na ma Mc wote waliowahi tokea dunia hii
1. Uwezo wa kurap
Jigga anauwezo wa kipekee wa kurap anapiga style ata laki sita za kuchana ndio ,aana wanamwita king of all flows...anaweza kuchana taratibu au fasta fasta..anaweza kuchana huku anakusafirisha kwenye kitu kingine yani anachana mpaka un aona kitu mtu anachomaanisha kama ni gari basi utaliona gari linatembea ata kama huko gheto umelala...ameweza kupiga michano ya miaka hiyo mpaka watoto wa sasa anawakimbiza. Usisahau kufreestyle jamaa ni konyo.
2 uwezo wa kuandika
Jigga kwanza ni storyteller mzuri sana pia anaweza kuandika kuhusu topic yoyote bata, mademu, hustle, street na kila kitu.
3. Kukaa kwenye game
Jigga amekaa kwenye game kwenye generation tofauti tofauti na zote kakimbiza, wazee wenzie wameishiwa pumzi ila yeye ni kama ndio anaanza.
4. Kuweka history
Jigga ana records nyingi sana ameweka kuanzia ku-sell out madson square...kuanzisha vitu vingi alafu wengine wanafata
yani ni mengi mengi mengi
Inahitaji uijue Hip-Hop kwa kina kabla hujaanza kuichambua, and kitu muhimu katika Kuichambua Hip-Hop, biased opinions huwa hazihitajiki, coz Hip-Hop imebeba Emcees wengi wenye upekee wao tofauti, ndo maana yakupasa kuifatilia na kuisikiliza kwa makini Hip-Hop kabla hujaanza kuichambua,
Hip-Hop ni kama Soccer, ina mashabiki pia, na kila shabiki ana Emcee/rapper wake anaemkubali zaid, lakin utofauti wa Soccer na Hip-Hop, unakuja katika Misingi na utimilifu wa Emcees wanaoibeba Hip-Hop, ndo maana katika Hip-Hop ukileta Biased opinions na "mahaba" unajikuta upo nje ya box kabisa..
1. Umesema Jay Z ni "king of all flows" haya ni mahaba makubwa, kwanza kabisa katika Flows kuna Em na Biggie, sidhan katika ulimwengu wa Hip-Hop, utatengeneza Top 2 ya "King of all flows" hawa watu wawili usiwaweke, Then kuna kina Tech N9Ne (kama umemweka Jigga kama king of all flows, i doubt kama umeshawah kupoteza muda wako kumfatilia na kumsikiliza huyu mtu), and what about Big L (why mnamu-Underrate?)
2. umesema Jigga ni Konyo kwenye Free-style, well "he's not that Konyo".. kuna Big L (R.I.P), Biggie (R.I.P), Em, and most of all my nig' Lil snupe (R.I.P)..hii nyanja manguli kibao wanatulia kwa hao watu, wakina Rakim, Nas, Kool G rap, Master Ace Krs-One, 2pac, Cube, Jay Z, Canibus etc..
Then siku ukitulia mtafute na msikilize Kdot kwenye huu upande wa free-style..
3. kwenye uandishi, katika misingi ya Hip-Hop, interms of repn Culture ya watu weusi, pamoja na lyrical movements zinazoakisi Struggles, streets, projects, Ghetos, Politics, peace, inhuman activities (eg. racism, child abuse, etc), no one can beat Nas, Rakim, 2pac, (ImmortalTech) and Even Andre 3000, na pia nenda katulie msikilize Em na Jay Z na utakuja kunambia nan ni muandishi mzuri, Em ni Rapper timilifu zaid ya Jay Z.
Jay Z anaweza akawa amewapita headz wenzake kwa pesa na mauzo ya albums, but hiyo haivunji utaratibu wa kurate clinical rappers katika game, the fact kwamba Drake anauza zaid kwa sasa, haimfanyi kuwa better rapper than Kendrick and J.Cole..
Jay Z ni rapper mzuri, haipingiki kuwa Hawezi kukosekana katika List yoyote ile ya Rappers bora kuwah kufanya Rap Music, but he's not the greatest Emcee of all time, kama utazingatia uhitaji zaid wa Hip-Hop,