Ahahahahahahaha babuuuu kwa utekelezaji. Hivi nani na nani wale vipi!?? Ngoja nikaone hepi besidei zao.
Af tarehe ya kati ni 25 January, Kebby's...lol
ewaaaa nimekubamba mwenzio niko hapa!!!!
Sasa nimeamini, wote waliozaliwa January ni majinias afu wana ngekewa ile mbaya.
Tutafute average tusheherekee siku moja. Nakupa kazi utafute mabinti wawili warembo waliozaliwa January wawe wageni rasmi kwenye vitanda vyetu.
cc Preta kwa msaada
bcc Nicas Mtei kwa taarifa
Nimekosa twin.Ngoja nitoke hapa
Manta hof atug.....tunaanza na yako then next year yakwangu au vp?
Good boy.
Hakikisha Vín Diezel haujui huu mpango mkakati. jamaa jambazi sana yule atatuharibia move.
Mi naona nilizaliwa mwenyewe siku hiyo
28th of September
Good boy.
Hakikisha Vín Diezel haujui huu mpango mkakati. jamaa jambazi sana yule atatuharibia move.