fredy kilewa
New Member
- Jan 8, 2014
- 2
- 2
Huu uzi makhususi kwa wana Jamii forums members kujuana na mwenzake vizuri. Unacho takiwa kufanya ni kuandika siku yako ya kuzaliwa pamoja na mwezi.
Mimi, August 15.
ona sasa umechelewa mpaka tumepishana masaa.Uvivu wako wakutoka umesababisha yote hayo.
August 14
February 16.
Huu uzi makhususi kwa wana Jamii forums members kujuana na mwenzake vizuri. Unacho takiwa kufanya ni kuandika siku yako ya kuzaliwa pamoja na mwezi.
Mimi, August 15.
Wewe nimekukosakosa kiduchu tu !
Mi April 04 !
April 21 mwenzangu queen elizabeth.......
1st April
Kuna demu wangu nimepotezana nae kazaliwa tarehe hii
February 16.
mimi hapa