Hello saint...Ila tabasamu bado lipo eh??
Habari yako smiles...them i luv...
Aah....
Hivi askofu ameenda wapi siku hizi?? :confused2:
Askofu ana hangaika na kesi zake za upotevu wa sadaka, so kwa humu ni kama ame :rip:
NAMWONA Xyln hapo chini....
akizichukulia hizi jokes serious tumekwisha
Hehehe na wadhungu tunajibu Thanks mkuu for your wish!
oyaaa, kumbe leo besidei yako?? why sikujua isee!! hepi besidei..naona umeanza nyimbo zako zile za longi za vijana jazz, matimila n.k..
pamojazAlright!! punguzeni ukali wa maneno wakuu!!:A S 20:
Thanx kamanda kuna kaubeti kanasema! "huku niliko wazazi wangu sina ndugu,
Lakini kutokana usia wenu wazazi wangu, najiona kwamba nipo nyumbani eee!
Hello saint...
Them smiles are here jus for u!!
And Happy Birthday Kimey :couch2:
Mkuu anasubiri kutuma zawadi za bdayHapo juu, mkuu Maxence naona anachungulia tu, hatoi hata salamu za besidei.....
Mkuu sharing is caring bwana!