Siku ukiwa na nafasi na kiu ya kunywa niambie unisindikize, hope kitakuwa Kiwanja poa though π₯Hukijui??
Mbona madadaz wa UDSM full kujazana hapo na Heineken [emoji848]
Alikuwa anapenda kukaa hapo mzee wa kipusa misanya bingi....
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wale ni mtu m1 ID tofaut dada la dada .Happy birthday dear Mahondaw, ila dah am speechless kusikia ni kweli hamko pamoja na Smart[emoji19] you were my super couple of all the time humu na niliwish siku tule ubwabwa na nipige selfie na couple ya jf, ila sawa tutazoea tu maisha bila Cc. Live long...[emoji7][emoji7]
Mikwaruzano kwenye mahusiano ipo hivo inabidi msuluhishe tu ili maisha yaendelee, je kuna jitihada zozote mlizofanya kuyarudisha mahusiano yenu na haikufanikiwa labda?
Ndoa imenificha best ila nawe umeadimika sana tuTeh! Asante rafiki umeadimika sana sikuhizi hao waliokuficha haoo, wasalimie best!
Aah hapana bana nawatetea smart na mahondaw wawe mtu 1 kweli ? SiaminiπWale ni mtu m1 ID tofaut dada la dada .
tuweke cc mimi na wewe pleaseIla zile Cc zilikuwa zinanikera.Bora mliachana.Na kama ni ID ya mtu mmoja bora ulitupumzisha.!
πππBinamu kaah..
Asa zilikuwa zinakukera nin πππIla zile Cc zilikuwa zinanikera.Bora mliachana.Na kama ni ID ya mtu mmoja bora ulitupumzisha.!
Una uhakika?Wale ni mtu m1 ID tofaut dada la dada .
Heee Nuzulat yashakuwa hayo tenaa jamani πππ si umtajeMlio kuwa na baby humu kuna kipindi mlikuwa mnajishauwa mlijikuta nani sijui kuna I'd ya kike ilishawahi nijibu mbaya kisa nilikuwa na bebishana na mchepuko wake maana jamaa nasikia ana familia kwa sasa kaachwa namuona kwenye uzi huu anavyojifariji.
Thanks for the wish: one day we had a serious fight over love relationship and everything ended there.
Hahahahahah tuljjua mtaachana tuThanks for the wish: one day we had a serious fight over love relationship and everything ended there.
BonaseraDina nxt week nakuja Mwanza, nile wapi samaki watamu??
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Haaahaaa [emoji16]
Haaahaaahaa [emoji1787]
Kuna watu hawalijui hili[emoji22] Poor them
Mi ukinijudge Jf mbona utakoma kwenye uhalisia wangu[emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Usijali kabisaSiku ukiwa na nafasi na kiu ya kunywa niambie unisindikize, hope kitakuwa Kiwanja poa though [emoji1635]
πππAnajijuaHeee Nuzulat yashakuwa hayo tenaa jamani πππ si umtaje