witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Kumbe umeumia sanaUsemacho kina ukweli ndani yake....[emoji1787][emoji1787]
Owke tujifariji kwa kusema "tumewaoa KWA AJILI YA MAISHA " na si "nanihii...kwao" ha ha ha TUJIFARIJI TU mkuu....
I do believe wife wako umemuacha mahali so karoho kanakudunda[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Jamani eeh hii kitu sio ya kwako pekeako lazima ukubaliane na ukweli, kama nyie jinsi mnavyochovya kila mahali
Sisi tunawaangaliaga tu[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app