Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
Usemacho kina ukweli ndani yake....[emoji1787][emoji1787]

Owke tujifariji kwa kusema "tumewaoa KWA AJILI YA MAISHA " na si "nanihii...kwao" ha ha ha TUJIFARIJI TU mkuu....
Kumbe umeumia sana

I do believe wife wako umemuacha mahali so karoho kanakudunda[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]

Jamani eeh hii kitu sio ya kwako pekeako lazima ukubaliane na ukweli, kama nyie jinsi mnavyochovya kila mahali

Sisi tunawaangaliaga tu[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1610]
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Mbona madole ya kati tena nini mbayaa[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Na nyie mnachoVYESHA!!! Hadi DNA ikapata umaarufu na siku hizi watu hawafanyi Dar tena maana WANABAMBIKIA shurti ME ashuke Nairobi kuhakikisha watoto ni wake au si wake.
Kumbe umeumia sana

I do believe wife wako umemuacha mahali so karoho kanakudunda[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]

Jamani eeh hii kitu sio ya kwako pekeako lazima ukubaliane na ukweli, kama nyie jinsi mnavyochovya kila mahali

Sisi tunawaangaliaga tu[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Asante Joanah . kama nilivosema nyuma ya keyboard kumejificha mengi mno! anyway zile annirversaries zilikua ndani ya ndoa my dia, I got married 2016 na mzee wa mwongozo tulikwaruzana badae tukafahamiana ki jf jf 2017.
So you are a cheater?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom