Daah unastahili SHABA kijf wewe.Khakhaa! Hapana. Ki jf Ilikua real and kiuhalisia I was cheating on mzee wa miongozo hakujua kama nimeolewa nauongo mwingine mwingi tu.
Huyu hapa mahondaw na bebi wake[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hujasahau ya Ufoo Saro eeh, jamaa lipo huko Darfur linahenyeka wewe unakitembeza huku, shauri yako. Halafu ndio umeyaweka mahusiano wazi as if hujaolewa, at least kuwe na usiri...dadeq mtauwawa na waume zenu
Daah Jamaa bado Yuko industrial age watu wako information age[emoji1787]
Mic u more mama la mama...umejichimbia wapiii?
Dah!dm ipo closed,keki inaoza huku wallahMtakuja kufwa vibudu mkija kuujua ukweli wallahi!!
DuuhTwin wewe wa kutoniita kweli na una kila njia zote za kunipata[emoji24][emoji24]
Hahhahahahha...Life is not fair.
Kutokuchapiwa inabidi mke awe mlokole tu [emoji23][emoji23][emoji23]...Hawa wa Digitali ni noma.
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Sipendagi tu show off zisizo na kichwa wala mkia.Kupendana wapendane wao kero iwe kwetu kumbe watu wenyewe wanacheat tu mbwembwe kibaoAsa zilikuwa zinakukera nin [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli sio kila king'aacho n dhahabuKuna funzo hapa wanaume.
Duuh
Si ndo nimekuita kule twin jamani[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sipendagi tu show off zisizo na kichwa wala mkia.Kupendana wapendane wao kero iwe kwetu kumbe watu wenyewe wanacheat tu mbwembwe kibao
Happy birthday ....swali level of educatn you have right nowHello guys
Nawashukuru wanajf wote walio pamoja nami katika lolote liwe zuri liwe baya mungu awabariki wapendwa. Pia, nawale wote walioikomaza akili yangu positively or negatively shukrani sana. Bila kuwasahau wafukua makaburi seriously huwa mnanihahahaha na kuniremind sometimes. Sambamba na wachochea kuni wote tupo pamoja mazee nyie pia kheri iwe nanyi.
Karibuni mnipikie mniimbie mniswalike mnichekeshe na kunizawadia pia.
Warmly welcome
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Bora walokole, wanakuwa na msurulu mchache (kwa baadhi kama wakiwa nao)walokole hawa wanaotembea na manabii uchwara?
Kuna baadhi ya wanawake Ni komando kipensi[emoji1]mkuu happy birthday.
Ujasiri wa kumcheat mjeda umeutolea wapi?
Duuu aisee hatari sana
Hatari sana,Kuna baadhi ya wanawake Ni komando kipensi[emoji1]