Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Happy birthday mahondaw. Mwenye swali kuhusu mimi

Status
Not open for further replies.
Khakhaa! Hapana. Ki jf Ilikua real and kiuhalisia I was cheating on mzee wa miongozo hakujua kama nimeolewa nauongo mwingine mwingi tu.
Daah unastahili SHABA kijf wewe.
Umekula pesa mingi ya mzee smart[emoji38][emoji38]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Huyu hapa mahondaw na bebi wake

1F7D2A0E-EDF1-4B42-9E4E-9E4449C3FB0D.png
 
Hujasahau ya Ufoo Saro eeh, jamaa lipo huko Darfur linahenyeka wewe unakitembeza huku, shauri yako. Halafu ndio umeyaweka mahusiano wazi as if hujaolewa, at least kuwe na usiri...dadeq mtauwawa na waume zenu

Kutishana tena!!
 
Hello guys

Nawashukuru wanajf wote walio pamoja nami katika lolote liwe zuri liwe baya mungu awabariki wapendwa. Pia, nawale wote walioikomaza akili yangu positively or negatively shukrani sana. Bila kuwasahau wafukua makaburi seriously huwa mnanihahahaha na kuniremind sometimes. Sambamba na wachochea kuni wote tupo pamoja mazee nyie pia kheri iwe nanyi.

Karibuni mnipikie mniimbie mniswalike mnichekeshe na kunizawadia pia.

Warmly welcome
Happy birthday ....swali level of educatn you have right now
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom