Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Mahondaw mim mwenyewe nishaachwa shoga angu so tusichekaneHahahahahaa! Ouwkey inapendeza kujua hilo! Hongera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahondaw mim mwenyewe nishaachwa shoga angu so tusichekaneHahahahahaa! Ouwkey inapendeza kujua hilo! Hongera
Ulichokosea kuweka mahusiano yako Jf kwani ingekuwa sirini huko Walimwengu wangeuliza uzuri"CC"Dina dina dina sitaki chambwa wima mimi nmeshakuambia jamani!! Its not good kumzungumzia kwenye upupu wangu jamani! Ebu niulize kuhusu other aspects of life basi! Au kama ni mahusiano iwe upande wangu usimuhusishe mkaka wawatu jamani hivi unataka nilie lol! Nimemkosea sana vyakutosha
Unawashwaaa? Tudili na huu uzi pamoja na mleta uzi owkey?Wewe nijibu mimi kama jimbo lako liko wazi
Hahhahahahha...Life is not fair.Aiseee inauma....
Yaani unaacha manzi wote na kuamua kumuweka ndani mmoja baada ya KUSULUBIKA vya kutosha afu baharia anamegewa vile atakavyo...akituma SMS tu..."watu wamo" daah so sad ha ha ha
Wow, that's nice
Si kweli mpendwaHata sisi tuna kufa mapema[emoji23][emoji23]
Weee wifi km wifiYes am married na nina two kids.
Kwani nyinyi hamsaliti mpendwaSi kweli mpendwa
Mi mwenyewe munyamahanga mbona!Hakuna mtu anajua kabila langu humu JF
Amini nakwambia, mi najua vilugha vingi humu TZ
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ngoja tumuite smart991 kuja huku pande za mahondaw....Yaan leo smart haji hapa kabisa kweli mashemeji tunahangaika hapa hii couple irudiwee irudiwe
Swali gumu hilo kulijibu halafu unamsema mwenzako atojibu wewe umeshindwa kujibuUnawashwaaa? Tudili na huu uzi pamoja na mleta uzi owkey?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji12]wee nae sometimes Ni mfukunyuku tuHapana mkuu wity kakaa kimbea mbea na kifukunyuku zaidi!
Amekataa mahondawNgoja tumuite smart991 kuja huku pande za mahondaw....
Kumbe kuna watu mko serious humu 😀Mahondaw mim mwenyewe nishaachwa shoga angu so tusichekane
Kumbe wa kwetu kule kamachumu...![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi mwenyewe munyamahanga mbona!
Kwa hiyo na wewe Jimbo liko wazi?Mahondaw mim mwenyewe nishaachwa shoga angu so tusichekane
Kumbe kuna watu mko serious humu [emoji3]