Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahahaHata mimi sitaki aende Chadema🤸😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaHata mimi sitaki aende Chadema🤸😂
Yeah, babez wa Smart ni mrembo sana!🙂
Only if you concur!☺️Unajifanya mjanja eenh 😊
Amin mkuu thanks for the wish!Miaka mingi kwake...Mungu awalinde 'Meet us' wa jf
Thanks dearHappy birthday mrembo wetu wa jf
Maneno matamu hivi mkiachana kuna uchawiSmart911 my love,
Thank you for the lovely birthday surprises. Thank you for making my birthday so special with your kind words and message and gifts.
Your birthday message warmed my heart
Santo sana kwa gifts, laughs, jokes, and everything .You are so amazing babe be blessed swirrrrrrryyyyy![emoji177][emoji177][emoji177][emoji177]!
Nawaambia wote wenye wivu na kupendana kwetu basi wanywe maji ya baridi ,kwa sababu mimi na wewe tumeunganishwa na upendo kutoka ndani ya sakafu ya mioyo yetu.hata wanasiasa wabadilike na kuja wengine lakini mimi na wewe tutaendelea kupendana na mioyo yetu kuunganishwa na kuchanua kwa furaha na mahaba utafikiri maua ya masika Wakati wa mvua.Kwani Lucas Mwashambwa mwenyewe anasemaje
Kukulia India 😁😁😁😊😊!!☺️😍 Mahondaw kaokota dodo mchana kweupee
Nikiwa mkubwa nataka kua kama nyie🤸
Smart una mahaba kama umekulia India
Naona wote mmeunganishwa kwa kizungu. Bila shaka humo ndani itakuwa kama darasa la international schoolSmart911 my love,
Thank you for the lovely birthday surprises. Thank you for making my birthday so special with your kind words and message and gifts.
Your birthday message warmed my heart
Santo sana kwa gifts, laughs, jokes, and everything .You are so amazing babe be blessed swirrrrrrryyyyy!💕💕💕💕!
Mi naamini kuna mwamba akipita na kusoma hapa anang'ata meno kwa hasira na kukosa hamu ta kula. Lucas Lucas🤣🤣🤣Nawaambia wote wenye wivu na kupendana kwetu basi wanywe maji ya baridi ,kwa sababu mimi na wewe tumeunganishwa na upendo kutoka ndani ya sakafu ya mioyo yetu.hata wanasiasa wabadilike na kuja wengine lakini mimi na wewe tutaendelea kupendana na mioyo yetu kuunganishwa na kuchanua kwa furaha na mahaba utafikiri maua ya masika Wakati wa mvua.
Amen dear thanks!! Na b wako mie na smart tunawapenda pia. Mfikishie salamu
siwezi bamdogo kwanza Id zao hata sijuigag mwanamke yupi mwanaume yupi😂😂Ukute meza ilibiduliwa au unataka kubidua meza mamdogo..!!
Haijawahi tokea smart kushobokea mwanamke!Kwahiyo mwamba anamshobokea au? 😂
Smart forever and alwayssssss!!