Diadomo.mbona kakonda...Katika hali isiyotarajiwa na wengi,Diamond na Zari wameonyesha kuwa wapo pamoja katika shida na raha,hiyo imethibitishwa jana kwenye sherehe fupi ya birthday party ya Zari jana,licha ya kuwa siku chache zilizopita kumekuwa na tetesi huenda wawili hao wakamwagana kutokana na Diamond kumsaliti Zari kwa kuzaa na Mwanamitindo Hamisa Mobeto.
AMA KWELI USIUSEMEE MOYO
akiachika nipo tayari kulea hata watoto kumi(10)Ataenda wapi zari kuna mwanaume anapenda kulea watoto 5 .yeye abaki na huyo mjinga wake diamond!!!!
Tema mate chini we Dada eti bila zari wangeendelea kuchoropoa we kama ulichoropoa usidhani na wote walifanya hivyo...naona zari unamwabudu Haswa hadi unadiriki kusema eti bila yeye who is she bytheway
Hahahaha nakymbuka alimpost kumwambia happy women's day tar 8/9 akamwambia I can't for the big day ya birthday kumbe anakuja kumuonyesha mtoto Diamond ni nyoko [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Amemnyoosha kimtindo.
Alafu ule mdomo ndio botox sijui...masindano ya kukuza lips zimekuwa kama za Kyle.
Amemnyoosha kimtindo.
Alafu ule mdomo ndio botox sijui...masindano ya kukuza lips zimekuwa kama za Kyle.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]akiachika nipo tayari kulea hata watoto kumi(10)
Mapenzi sio vita[emoji23] [emoji23] [emoji23]Beautiful with brain. Vinuka mkojo vingi vinamuonea sana wivu. Happy birthday zari kubwa la maadui,jeshi la mtu mmoja.
Good pointWana wivu,wengi ni single mama ambao hawajakubali kuwa ni single huku wakimwona mwenzao mwenye watoto zaidi ya watatu akipata mwanaume mwingine na kuendelea maisha bila kutetereka
Kuwa single mom sio dhambi ila stress ni pale ambapo mtu anapoachika kisha anakosa pa kuanzia,akichungulia insta ya zari anachukia zaidi kuona mwenzie yupo juu kimaendeleo
Alafu tukishaacha akaitwa zari wewe utafaidika nini?Leta,halafu mmekazania zari kujisugua kwa maplastic wakati wenginee wanajisugua hata kwa matango na ndizi aiseeee,watu wanasagana na kukoboana sembuse dildo,wimbo wenu umepitwa na wakati
Tukiwa upande wa zari oohoo mnamshobokea zari,mlitaka tumshobokee nani sasa. Bila zari wasichana wengi wa kibongo wangeendelea kuchoropoa mimba,bila zari insta kusingekua na accounts za watoto wa madada wa kibongo
ACHENI ZARI AITWE ZARI BANA
Alafu tukishaacha akaitwa zari wewe utafaidika nini?
Brother naona hadi unanibadilisha jinsia kisa zari duh!Dada kila niendapo upo aiseee
Brother naona hadi unanibadilisha jinsia kisa zari duh!
Hivi hata minyoo si huitwa minyoo?Alafu tukishaacha akaitwa zari wewe utafaidika nini?
shoga hata Leo yupo kwa hamisaNa hiyo kulala Mara mbili ni uwongo usikaamini kale kajamaa
Kalikuwa kanaenda kulala kila siku kwa mobeto kuna rafiki yangu anaishi karibu na Hamisa!
Kwa hiyo wewe umeshaona Nillan si mtoto wa Nasib? Hata Tiffa mlisema hivyo hivyo. Wapumbavu.
Hakukwambia kwamba alikwenda kulala na mtoto wake baada ya kuzaliwa? Hakukuambia kwamba yeye alikataliwla na baba yake na akaona uchungu ambao hataki mtu mwingine aupate?
What do you want to say bitch supporter?
BTW, I have cleared it out. Tafuteni nyumba nyingine na kuvuruga na Zari mmekwama!, Mbona huelewi wewe unalazimisha tu na malaya wako?
Kupeleka mbuzi wewe hukuelewa maana yake nini?
Kam akila kitu huelewi, bila shaka una matatizo yako ya ufahamu ambayo nadhani yamekusumbua ndiyo sababu hata elimu ya darasani ni mateso kwako.
KWA UFUPI, I DO NOT HAVE TIME WITH LOW PEOPLE WHO DO NOT KNOW THEIR STATUS. TAFUTA MWINGINE. SINA NAFASI YA KUBISHANA NA WATU WA KIWANGO CHAKO.[/QUOT
umetoa povu hadi udongo. huna kazi ya kufanyaa njoo nikuajiri maana sio kwa povu hili kha.
Hahaha haya bana ila wembe simeziHahahahaha leo ninalo watu saba wananichangia ka mtu kamoja hahahhaa. Fatilia interviews za mastaa wengi wamechoropoa mimba kisingizio bado wadogo. Saiv wanategesha tu ili wazae. Zari always be zari
IKIKUUMA MEZA WEMBE