Happy birthday Mange Kimambi

Mama la mama kubwa la maadui aka Bar sheee teee
 
Happy birthday Mange wewe ni mwanamke shujaa sana kama tungepata wakina Mange Kumi dooonh ingekuwa raha nakupenda sana Mange sema nini ungekuwa yaani umetulia kidogo ungekuwa influential sana sema ndo hivyo tena Mange wangu hayo ndo maisha uliyoyachagua...Mungu atimizd haja z moyo wako I luv uuuu
 
Happy Birthday kubwa la maadui kiboko ya Bashite.
 
Happy birthday mange daudi bashite kubwa la social media
 
Kama unasema humjui Mange Kimambi na wewe unatumia mitandao ya kijamii, jambo la haraka linalojionesha ni kwamba wewe ama ni mshamba au una ujinga wa kudhani kwamba unapopingana na watu maarufu hadharani na wewe unakuwa maarufu!!
 
happy birthday mama divorce at 40! toka umeanzisha bashite kampeni nakupendaje? love you mama kenzo!
 
Hahahaa kiroho swafiiii Happy Birthday Mama watatuu
 
Hivi huyu Mange kitambi huwa ni Nani hasa.. Toka nianze kumskia sijui kipi anafanya mpaka awe maarufu jf.. Na je humu anatumia ID Gani.. Kama Hana ID humu ndani kwanini tumpongeze
Angalia usijing'ate ulimi si kwa unafiki huo yaaani humjui kabisa mimi kwa mtu ambaye hanishughulishi wala simjui huwa sihangaiki kusoma au kufuatilia comments zake sasa nakuuliza hiviii baba kayaii umefikaje huku? Au umepigwa na radi ukajikuta uko pande hii hembu utupishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…