Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nasi tutengeneze couple nimechoka kukita Shem..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nasi tutengeneze couple nimechoka kukita Shem..
Kaka ake shikamoooNimtafuta namna ya kuandika gazeti ila nimejikuta na lifuta
Safari ya mwanadamu huwa ina mengi katika mengi huya mabaya na mazuri
Unahitaji kuwa na mvumilivu katika kila pito unalo pitia
Hongera kwa kuongeza miaka ya uwepo wako duniani
Mungu akuzidishie afya tele
Mwifwa hongera kwa kujitwaria kimwana 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Kumpta Tayari Nazi kutunza uaminifu na wako kwakeAhsante mkuu.
Kushinda dau haikuwa kazi rahisi.
Hahahaaaa
leo zamu yangu kuwa mtazamaji natazama tu watu na watu wao
Hahahahaaaaa.Haki ya nani mapenzi haya ya JF yangekuwa yanatendeka hata huku uswahilini kwetu I swear masingles wote wangepotea kabisa.Hongera mkuu kwa mahaba motomoto Japo hiyo ID ya mpenzi wako inanitisha miye "MONEY TALK" na vyuma hv mhhh!!!
Anyway Happy birthday kipenzi cha Mwifwa
Vema mkuu,endelea Ku enjoy penzi zito la mtoto Money Talk.All the best kiongozi.Hahahahaaaaa.
Japo jalada la kitabu mara nyingi huwa linasadifu yaliyomo, pia mara nyingine huwa kinyume chake na inatubidi kukifungua hicho kitabu ili tupate ukweli wake
Basi jitahidi upate ukweli wa hilo jamboUnajua kuna jamaa fran iv kamuwish demu wake flan iv watsup mbaya zaid uyu jamaa nilishawai kumuuliza jf unatumia id gan sababu nshamgumia mara kibao akichat ila sijafanikiwa kujua id yake