Happy birthday my Love moneytalk

Happy birthday my Love moneytalk

Shemeji how do you expect me to remember your birthday when you never look any older??

Happy birthday [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] uishi miaka 75 tu kama ilivyoamriwa na maandiko matakatifu[emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wakati huo Mwifwa aishi miaka Sabini na tano.

Sema nn. Kwa maombi yangu ninawaombea miaka ,86 kwa mwifwa.... Alafu kwako miaka 92.

Kama haitoshi Mnune tu ,mvimbe na mpasuke[emoji23].
Hahahahahaaa.

Shukrani mkuu
 
Hapo nimekudhihirishia kuwa hili jambo limeanza muda mrefu, huo ujumbe ndio ilikuwa. mara ya kwanza kutambulisha hili jambo public(kwa wana JF)

Sasa unganisa dots mwenyewe
Hivi mbona huwa hatuwezi kujibu moja kwa moja hadi tuzunguke sana na bado jibu usitoe la kueleweka. Ulichoniambia ni maelezo na sio jibu. Ila isiwe shida maana ni privacy yako
 
Back
Top Bottom