moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
Nenda kuamuulizeVp dj ulimtosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kuamuulizeVp dj ulimtosa
Jamaa mbona unafukua makaburVp dj ulimtosa
Hata hivyo yule jamaa mambo yake yalikuwa chai ya rangi sana mwifwa ni chuma cha mjerumanNenda kuamuulize
Hapana nakumbushia tu si unajua huyu ni shemeji yetu lazima kautan kawepo kidogoJamaa mbona unafukua makabur
Hahahaaa. Hujajua hapa naandika huku nawaza namna ya kukuchomoa huko. [emoji12] [emoji12]Halafu hufanyi hata juhudi ya kunichomoa kwenye hilo janga😳?
Hahaaa sawa mama ushauri nasubiria ushauri wako kwa hamuHahahaaa. Hujajua hapa naandika huku nawaza namna ya kukuchomoa huko. [emoji12] [emoji12]
Usijali bana si wajua mie Mama ushauri basi jiandae kupata ushauri ambao utajiondoa mwenyewe huko hata kama itakuwa taratibu ila najua mwisho wa siku utaacha kabisa. [emoji23]
Ila si kwa kamba hizo Sesten.[emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Tena ushauri huu umfikie na Birthday Girlila najua mwisho wa siku utaacha kabisa.![]()
Mwifwa money inatikiwa italk kakaasante sana kipenzi changu,mwenyezi mungu azidi kukubariki na kukuongezea mafanikio tele ktk maisha yako,umekuwa mwanaume wa pekee sana kwangu unayenipenda,kunijal,unaniheshimu na mwenye mwenye mapenzi ya dhati kwangu,japo mazingira tuliyokutana(jf)ilikuwa vigumu kuamini kama tungefikia hapa leo! Nakupenda sana mwifwa wangu umenifanya niwe jasiri,umeondoa huzuni moyoni mwangu na kunifanya niwe mwenye tabasamu muda wote!NITAKUPENDA MILELE
Nakazia hapo kwenye mautamu.Happy bday MT uishi miaka mingi uzidi kumpa mautam Mwifwa
Nakazia hapo kwenye mautamu.
Ila nimejikuta naukumbuka msemo wa wahenga "Kizuri kula na nduguyo" (Mwifwa asione hapa).
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol.Hahaaa sawa mama ushauri nasubiria ushauri wako kwa hamu
Hahahaaa, acha utundu😛😛😛
Wewe ni wangu pekee kipenzi changuasante sana kipenzi changu,mwenyezi mungu azidi kukubariki na kukuongezea mafanikio tele ktk maisha yako,umekuwa mwanaume wa pekee sana kwangu unayenipenda,kunijal,unaniheshimu na mwenye mwenye mapenzi ya dhati kwangu,japo mazingira tuliyokutana(jf)ilikuwa vigumu kuamini kama tungefikia hapa leo! Nakupenda sana mwifwa wangu umenifanya niwe jasiri,umeondoa huzuni moyoni mwangu na kunifanya niwe mwenye tabasamu muda wote!NITAKUPENDA MILELE
Nilikua nakuangalia tu mwanafuzi wewe😛😛😛[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol.
Umeshasahau we ndio Teacher wa Hajar. [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]