Happy Birthday Sakayo

Happy Birthday Sakayo

Hahahaa. Alipotoka huko sijui kama simu hakuiweka kwapani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maana ukiishika mkononi waeza ulizwa kulikoni umeshika simu usiku huu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha hahaha hahaha
Hivi aliificha wapi! Kwapani itaonekana tuu! Ukute kavaa khanga moja
 
Ninapozungumzia marafiki zangu wewe ni miongoni mwa marafiki zangu wa faida kabisa hata nikiwa na shida nikuamshe usiku wa manane lazima unisikilize pamoja na mm na kausumbufu jamani lakini unanivumilia kwa vyote.

Tuna uchizi mwingi unaofanana [emoji1787][emoji1787]
Asante sana jf kwa kunikutanisha na sakayo wangu amekuwa zaidi ya rafiki kwangu tumekuwa zaidi ya ndugu [emoji847][emoji847]

Happy birthday sakayo wangu kaziwanda ka mama....Mungu wangu azidi kukuweka tu na kukulinda na akufunike kwa Damu ya Yesu, akubariki katika biashara zako na kazi yako na familia yako [emoji120][emoji120]

Nakupenda tu mimi leo, kesho na milele [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]

MITHALI 14:1-2 Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba, Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe, yeye aendaye kwa unyofu wake humcha Bwana bali aliye mkaidi ktk njia zake humdharau [emoji120][emoji120]





View attachment 1124133
maneno mazuri shemeji
 
Back
Top Bottom