Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi matope tu ya huku rufiji, maji mtammwagia nyie...Ahsanteeeeee kwa kila kitu, usisahau na ndoo ya maji kwa niaba yangu
Amesema un pm namba yake uskawieNiko apa
keki huku naitolea wapi...unakulaga magimbi au maboga?Hahaha hahaha
Hebu ninunulie keki bana
Hahaha hahaha hahahaHahahaa. Alipotoka huko sijui kama simu hakuiweka kwapani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maana ukiishika mkononi waeza ulizwa kulikoni umeshika simu usiku huu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa. Tuliipata wengi tunafika hata nane jirani yaani wale wote tuliokuwa tunapiga soga ilitupitia. 😂😂Hahaha hahaha hahaha
Pole sana jamanii jirani!
Mimi hata sikujua kama imenikumba, shunie aliniletea taarifa kesho yake
maneno mazuri shemejiNinapozungumzia marafiki zangu wewe ni miongoni mwa marafiki zangu wa faida kabisa hata nikiwa na shida nikuamshe usiku wa manane lazima unisikilize pamoja na mm na kausumbufu jamani lakini unanivumilia kwa vyote.
Tuna uchizi mwingi unaofanana [emoji1787][emoji1787]
Asante sana jf kwa kunikutanisha na sakayo wangu amekuwa zaidi ya rafiki kwangu tumekuwa zaidi ya ndugu [emoji847][emoji847]
Happy birthday sakayo wangu kaziwanda ka mama....Mungu wangu azidi kukuweka tu na kukulinda na akufunike kwa Damu ya Yesu, akubariki katika biashara zako na kazi yako na familia yako [emoji120][emoji120]
Nakupenda tu mimi leo, kesho na milele [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
MITHALI 14:1-2 Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba, Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe, yeye aendaye kwa unyofu wake humcha Bwana bali aliye mkaidi ktk njia zake humdharau [emoji120][emoji120]
View attachment 1124133
Karibu jamani!aisee basi nitakuja huko pm, acha aendelee na mikwara yake.
mimi nipo mzima kabisa....siku zinaenda.
Na mie nawafuata huko hukoo[emoji15][emoji15] naja [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
😀😀😀😀 umbea sunna ujue 🙈🙈🙈🙈[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama nakuona unavyokimbia hapo
stend ya mabasi mama akeNikupokee wapi eti babake
afadhali nimepata mualiko, naomba kibali nihamie June na mimi niwe jiniazi[emoji3059][emoji8] sijui mara ya mwisho kusifiwa ilikuwa lini, nitaota leo mie, kama vp hamia kwetu nawe uwe jiniazi
Acha tu nduguPole sana dear!
Ndo maana sitaki kukuwa mkubwaaa