Happy Birthday Sakayo

Keki nitaikuta huko [emoji2],mimi mgeni,yupo mtu kanichunia
Beba keki jamaniii!
Maji ya kunywa utayakuta!

Mungu hapendi kuchuniana jamani!.

Wewe uliyemchunia Mgagaa na Upwa niko chini ya miguu yako! Naomba umsamehe, anateseka sana na hakuna kitu kibaya kama mtu kuishi bila amani! Please naomba umsamehe!
 
Amen....ila mwambie Shunie asiishie tu kwenye maneno jamii forum akubless hata na round trip ticket ya mauritius

maana nimeona mkoba wake tu ni bei ya ticket ya dubai [emoji23][emoji23][emoji23] Shunie mtu mzito kweli kweli
Hahaha hahaha hahaha
Hapo naomba unisaidie kumwambia!

Hilo neno uloandika ni huku duniani ama ni sayari nyingine insta babe ake shunie?!
 
Hahaha hahaha hahaha
Hapo naomba unisaidie kumwambia!

Hilo neno uloandika ni huku duniani ama ni sayari nyingine insta babe ake shunie?!
hahaha... bila shaka ntamwambia maana najua uwezo anao sema anataka kukubania tu.... [emoji23]

neno gani tena dada sakayo [emoji23][emoji23]
 
hahaha... bila shaka ntamwambia maana najua uwezo anao sema anataka kukubania tu.... [emoji23]

neno gani tena dada sakayo [emoji23][emoji23]
Nitashukuru sana mimi jamani!
Hebu mwambie na mie nikaoshe mecho!

Hili ulotaja sio Maurine hata sielewi kabisaaa insta babe ake shunie
 
Nani kakupa ruhusa ya kuuanzishia uzi mchepuko wangu wa milele?

Sakayo darling hebu mpitie dadaako Sky Eclat mkuje pande hii tufanye utatu mtakavitu kwenye hii siku muhimu sana kwa familia yetu.

Wakati mkiwa njiani ujue kabisa niko bize kukuombea maisha marefu yenye furaha, amani, mafanikio na upendo. Yaani ubarikiwe mpaka uombe poo

Happy birthday mchepuko. Grow wise.
 
Asante sana jamanii mchepuko wangu wa kudumu!
Na wewe barikiwa mpaka unigawie ka IST!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…