Happy Birthday Sakayo

Happy Birthday Sakayo

The sweet words from you is my biggest gift on my born day, dear dada I mean I say!

You truly made my born day with the sweet words of yours, just like how chocolate enhance the taste of dessert, same way your wishes enhanced my born day!

I feel really blessed, thank you for your lovely wishes for my birthday Shunie!

Will always love you!!
Anything for u till infinity babe.
 
Mungu ni mwema, ni mwaminifu sana kwangu!
Namshukuru kwa umri mpya alonijaalia, wazazi, ndugu, kazi, pumzi na akili!

Lakini zaidi namshukuru Mungu kwa kunipa marafiki ambao wamekuwa kama ndugu, wana JF nyie ni kama ndugu zangu! Namshukuru Mungu sana kwa hilo!

Nitakuwa mnafiki kushukuru Mungu bila kuwaombeni msamaha nyinyi ndugu zangu, najua wapo niliowakwaza kwa kujua ama kutokujua! Sababu Biblia inatuasa tuitafute kwanza amani na watu woote, naomba niwaombe mnisamehe pale nilipowakwaza ama kuwaumiza kwa namna moja ama nyingine!

Mkinisamehe naamini na sala zangu za shukrani zitapokelewa!

Niwashukuru mnoo, wanafamilia wangu wa jf kwa kuwa na mimi, mnanifanya nacheka hata nikiwa chumbani peke yangu! .
Dada Shunie pokea shukrani zangu!


Kutoka ndani ya sakafu ya moyo wangu, NAWAPENDA sana, yaaani sana!!

N.B: Zawadi napokea mwenyewe jamani kwa namba zile zile za voda![emoji7][emoji7][emoji8]
Khaaaaa

Kwahiyo mm sitakiwi kukupokelea zawadi
 
U r welcome mtoto mzuri,wewe ndio wa kunificha sema ndio ushawaiwa
Unaiwahi keki au unakuja nayo jamani!

Nani huyo kakuchunia eti, nimuombe msamaha?!
Keki nitaikuta huko [emoji2],mimi mgeni,yupo mtu kanichunia
Beba keki jamaniii!
Maji ya kunywa utayakuta!

Mungu hapendi kuchuniana jamani!.

Wewe uliyemchunia Mgagaa na Upwa niko chini ya miguu yako! Naomba umsamehe, anateseka sana na hakuna kitu kibaya kama mtu kuishi bila amani! Please naomba umsamehe!
Hahahahah mm mbona sijamchunia
 
Mungu ni mwema, ni mwaminifu sana kwangu!
Namshukuru kwa umri mpya alonijaalia, wazazi, ndugu, kazi, pumzi na akili!

Lakini zaidi namshukuru Mungu kwa kunipa marafiki ambao wamekuwa kama ndugu, wana JF nyie ni kama ndugu zangu! Namshukuru Mungu sana kwa hilo!

Nitakuwa mnafiki kushukuru Mungu bila kuwaombeni msamaha nyinyi ndugu zangu, najua wapo niliowakwaza kwa kujua ama kutokujua! Sababu Biblia inatuasa tuitafute kwanza amani na watu woote, naomba niwaombe mnisamehe pale nilipowakwaza ama kuwaumiza kwa namna moja ama nyingine!

Mkinisamehe naamini na sala zangu za shukrani zitapokelewa!

Niwashukuru mnoo, wanafamilia wangu wa jf kwa kuwa na mimi, mnanifanya nacheka hata nikiwa chumbani peke yangu! .
Dada Shunie pokea shukrani zangu!


Kutoka ndani ya sakafu ya moyo wangu, NAWAPENDA sana, yaaani sana!!

N.B: Zawadi napokea mwenyewe jamani kwa namba zile zile za voda![emoji7][emoji7][emoji8]
Like kosa lako la kuniambia tuwe tunasalimiana PM kumbe Pm umefunga, nimekusamehe.
Usirudie tena.
 
Amen....ila mwambie Shunie asiishie tu kwenye maneno jamii forum akubless hata na roundtrip ticket ya mauritius

maana nimeona mkoba wake tu ni bei ya ticket ya dubai [emoji23][emoji23][emoji23] Shunie mtu mzito kweli kweli
Hahaha hahaha hahaha
Hapo naomba unisaidie kumwambia!

Hilo neno uloandika ni huku duniani ama ni sayari nyingine insta babe ake shunie?!
hahaha... bila shaka ntamwambia maana najua uwezo anao sema anataka kukubania tu.... [emoji23]

neno gani tena dada sakayo [emoji23][emoji23]
Nitashukuru sana mimi jamani!
Hebu mwambie na mie nikaoshe mecho!

Hili ulotaja sio Maurine hata sielewi kabisaaa insta babe ake shunie
hahahaa.... sawaaaa ntamwambia

aaaaah hako si kale kakisiwa /nchi ni holiday destination nzuri sana me mwenyewe niliiona insta kwa Shunie [emoji23]
Hahaaa

Insta babe umeanza ujue ebu nipeleke uko nikaoshe macho
 
Amen....ila mwambie Shunie asiishie tu kwenye maneno jamii forum akubless hata na roundtrip ticket ya mauritius

maana nimeona mkoba wake tu ni bei ya ticket ya dubai [emoji23][emoji23][emoji23] Shunie mtu mzito kweli kweli
Hahaha hahaha hahaha
Hapo naomba unisaidie kumwambia!

Hilo neno uloandika ni huku duniani ama ni sayari nyingine insta babe ake shunie?!
hahaha... bila shaka ntamwambia maana najua uwezo anao sema anataka kukubania tu.... [emoji23]

neno gani tena dada sakayo [emoji23][emoji23]
Nitashukuru sana mimi jamani!
Hebu mwambie na mie nikaoshe mecho!

Hili ulotaja sio Maurine hata sielewi kabisaaa insta babe ake shunie
hahahaa.... sawaaaa ntamwambia

aaaaah hako si kale kakisiwa /nchi ni holiday destination nzuri sana me mwenyewe niliiona insta kwa Shunie [emoji23]
Hahaaa

Insta babe umeanza ujue ebu nipeleke uko nikaoshe macho
 
Nani kakupa ruhusa ya kuuanzishia uzi mchepuko wangu wa milele?

Sakayo darling hebu mpitie dadaako Sky Eclat mkuje pande hii tufanye utatu mtakavitu kwenye hii siku muhimu sana kwa familia yetu.

Wakati mkiwa njiani ujue kabisa niko bize kukuombea maisha marefu yenye furaha, amani, mafanikio na upendo. Yaani ubarikiwe mpaka uombe poo

Happy birthday mchepuko. Grow wise.
Hahhaha nimejipa ruhusa mwenyewe
Kama mchepuko wake umeshindwa kumuwish unategemea nani amuwish kama sio mm ndg yake
 
Happy birthday dearest one[emoji8][emoji3590]
Umezaliwa mwezi mzuri[emoji7]
Mwenyez Mungu azidi kukupa heri ,hekima na maarifa uzidi kumpendeza yeye na wanadamu
 
Back
Top Bottom