Happy Birthday Sakayo

Ulikuwa utani tuu wee....hivi ukiachia dudu kuna kitu tamm kama biaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]halafu nimekumbuka Mimi na Sakayo tumezaliwa mwezi mmoja...kwahiyo zawadi nitampa siku ya besidei yangu...oh yeah
Khaaaa
Umeanza wizi rafiki
 
Ulikuwa utani tuu wee....hivi ukiachia dudu kuna kitu tamm kama biaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]halafu nimekumbuka Mimi na Sakayo tumezaliwa mwezi mmoja...kwahiyo zawadi nitampa siku ya besidei yangu...oh yeah
Hahahah ww ni chizi jamani ila dudu tamu jamani

Zawadi imeshahama tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona mahaba yako kwa hawa watu ni overkind kama sio exceptional, niliwahi kuwa na mmoja mimi blunder niliyoifanya mimi wuuuuh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha ebu tuambie wii mm hawa watu nawapenda lakini nawaogopa sana kutokana na mambo zao tatizo wahuni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…