Happy Birthday Shunie......!!!!

Huyu alinitelekeza, sikuku ilivyoisha ndio akarudi. Yule anko wako sasa ndio wa ukweli, shida zangu za kiroho,kimwili na kiuchumi alikuwa anamaliza zooote. Huyu mpare maneno tuuuu[emoji134][emoji134][emoji134]
Yuko wapi eti jamani
 
Kaka wa damu, hata akikaa vibaya naangalia pembeni hahaha!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaniii jamanii kaka, daaahh
 
Wapo, wamekuwa wahunii siku hizi. Eti nao wanakaa vijiweni ukipita wanakukonyeza [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wapi huko tena jamani nami nikapite wanikonyezee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…