Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mdogo wangu mzuri mzuri jamaniHabari za wolidi kapu,, ila umeshanifafanulia basi nimeshaelewa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie huniibii maana nakujua wizi wako wooote.@Jael wangu!!
Aah kama yule hana madhara! Nitaendelea kuvumilia hata ukimtaja.Khaaah!! Umeanza kunisingizia[emoji134][emoji134][emoji134]
Ni wewe tu na yule nilommiss.
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Nakazia!!
Yuko wapi eti jamaniHuyu alinitelekeza, sikuku ilivyoisha ndio akarudi. Yule anko wako sasa ndio wa ukweli, shida zangu za kiroho,kimwili na kiuchumi alikuwa anamaliza zooote. Huyu mpare maneno tuuuu[emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji87]Sasa jamani nyie wanaume nioneeni huruma na miaka hii 40 hata mume sina atokee basi wa kunionea huruma aniwowe na mimi nichezewe kwaito [emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenifanya hadi nicheke kwa nguvu muone vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wote tuseme amina. Mimi napenda hadi najizua, manake nisipoangalia nafwaa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapo, wamekuwa wahunii siku hizi. Eti nao wanakaa vijiweni ukipita wanakukonyeza [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aah kama yule hana madhara! Nitaendelea kuvumilia hata ukimtaja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Qatar na treni dada?? Naona ushatuchoka!!
Sent using Jamii Forums mobile app