Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Asante zesh wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante zesh wangu
Hahahaha nimeshakaribia mpenzi wahenga oyeeeehHappy birthday Shunie[emoji7]
Welcome to the fourth floor [emoji173]
Hahaahahha asante muhenga mwenzanguHappy birthday Mhenga mwenzangu Shunie,
Ameen dear [emoji120][emoji120][emoji120] ubarikiwe mnoo Mungu wangu azidi kukuweka tu nakupenda mimiNakupenda zaidi jamani dear!!
Mungu wetu sio kiziwi ashindwe kutujibu! Ni vile tuu hawahi wala hachelewi! Tuzidi kumtumainia dear!!
Miaka arobaini ndiwooo!
[emoji120][emoji120][emoji120] Thank u JHappy Born Day rafiki
Yo shall overcome
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Ntamuelekeza mbondei mmoja ako kwa ofisini yenu; akulete uje uchagueKitalu changu umenirusha eehh
Vijana wanaohitaji kulelewa Uzi wameuonaHahaahahha asante muhenga mwenzangu
Utaipata shunie knife; worry out kabisaThank mjeda ufanye ulete ile zawadi basi
Ebu ngoja kwanza hiko kitalu ni mimi au sakayo mbona mimi sio mlaini jamaniHuyu naye ningempatia zawadi ya kitalu chake tatizo ako mayai sana.
Mimi mwenyewe na uzee wangu nataka kulelewa silei mfugo wa binadamu mkuuVijana wanaohitaji kulelewa Uzi wameuona
Ndio maana nakupenda mimi mjedaUtaipata shunie knife; worry out kabisa
Naanzia wapi kuwa mlaini mimi jamaniHahahahaha
Eti wewe mlaini
Hahaaa! Haya mamaaMimi mwenyewe na uzee wangu nataka kulelewa silei mfugo wa binadamu mkuu