Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Hahhaha kama kawaida yako ushaanzaMiamala ikiwa mingi usinisahau jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahhaha kama kawaida yako ushaanzaMiamala ikiwa mingi usinisahau jamani
Thank u handsomeHbd to her
Ntakuelekeza siku akija akupitie mje wote!Niko serious jamanii
Hahaha bana embu sema ukweliNaanzia wapi kuwa mlaini mimi jamani
Hehehe nakupamba pamba si unajua umekua mpya.Thank u Dear halafu usitake kunipa bichwa basi
Kweli bwana mimi mgumuHahaha bana embu sema ukweli
Asante Carlos kwa kunikumbusha [emoji120][emoji120] ubarikiwe mnooAnaandika Carlos...
MTU mmoja alisema 'akifika miaka 30 , atakua na Nyumba Kali. Kazi nzuri, Pesa ,na Gari (Magari) na Kuoa Mke mzuri ili awe na watoto wazuri '.
Baada ya kufikisha miaka 30 kila akijitathimin hana hata kimoja badala yake ana Umri tu wa 30 yrs..
Inawezekana kabisa aliupenda usingizi...au hakuupenda usingizi lkn hakujua namna gan vitu vinafanyika, au alijua Lakini Aliamini katika Akili yake na nguvu yake mwenyewe pasipo kujua Mungu ndio mpaaji.
Siku hii ikukumbushe namna gan ya Kumtanguliza Mungu katika Changamoto zako na mipango yako,
Siku hii ikukumbushe katika kumuambia Mungu akuletee Mume mwema,
Siku hii ikukumbushe kua Mama yako alokuzaa usikae kumdharau.
,Siku hii ikukumbushe juu ya Tahadhari ambazo unapaswa kubeba kabla ya kuruhusu MTU aingie ndani ya Mduara wako ,
Siku hii ikukumbushe kua WEWE NI MWANDISHI NANMWENYE KIPAJI CHA MASIMULIZI na hivo lazima ufanye kitu na Support ya wanaJF na kwa jina lako humu TUNANUNUA kazi zako za Fasihi, Jifunze kwa Eric Shigongo
Siku hii ikukumbushe kua Sio TU kujuana nawatu ni fanikio JF, laa hasha, watu hawa pia ni vema uwatumie ktk kupiga hatua moja NA nyingine.
Siku hii ikukumbushe kua Mwanadamu anahitaji uthubutu na Sio hofu kwakua hofu ni upotevu wa Muda usokua na FAIDA.
Na kwakua Mwanadamu alokamilika ni Yule aiongozaye Akili na mwili wake, BASI SIKU HII IKUKUMBUSHE KUA AFYA YAKO NI NGUZO MUHIMU.
Katika yoooooooote, Usiache kusaidia wenye hitaji, usiache kutoa shauri , usiache kua sehem ya FAIDA kwa mwenzako ,usiache kua sehem ya badiliko unalotaka kuliona..
MUNGU KWANZA, MENGINE BAADAE !!
Asante kapwil
Shukran Kaka akeeNimekosa cha kuandika
Hongera kwa kuja duniani siku tarehe kamaya leo
Hahaha baby daddy bwana vipi baby wetu anaendeleaje jamaniHehehe nakupamba pamba si unajua umekua mpya.
Thanks babe