Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shunie mbona unanizeesha mapema? Eti Karma hapendi, si uongo huu..
Mweeh nani huyo etiWeeeeh umemsahau anko wako wa ukweli? Yule ndio anabeba tuzo za ma-anko zako wote. Halafu shammiss tayari[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hahahha wapi eti nataka gari mimi mechoka kutembea na leseniUnakwama pale juu
Khaaah!! Umeanza kunisingizia[emoji134][emoji134][emoji134]Mimi nawajua wengi, ila nazidi kuwa mvumilivu tu. Tatizo ni ile kitu napata kutoka kwako.
@Jael wangu!!Unamuibia nani eti jamani kaka!
Aintie usijifanye huna macho.Mweeh nani huyo eti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kingozi eti
Hapa nilipasubiri sana, ngoja niendelee kusoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Habari za wewe eti jamani [emoji1780]