Happy birthday Sungura1980

Happy birthday Sungura1980

Last edited by a moderator:
Wapendwa wana JF ninapoadhimisha siku ya kuzaliwa napenda kuwashukuru sana kwa michango yenu na ushirikiano mkubwa mnaonipatia.Sitaweza kuwataja wote maana natumia mchina,lakini shukrani za pekee ziwaendee wana JF wote hasa Bantu lady, miss chagga, sister, mwallu, kiwatengu, shansarie, Munkari, Mokoyo, Kaizer, watu8, Madame B, Lady doctor, Arushaone, Asprin, ladyfurahia, Passion Lady, zinc, farkhina, Judgement,, Washawasha,, Tangopori aka weka picha,, Inspector Lady, Baba V, Erickb52, Vallentina, Chocs, DEMBA, Zinduna, utafiti, Heaven on Earth, Mamdenyi, amu, mimi49, Paloma

Jamani ambao sijawataja mnisamehe,nawakumbuka wote,asanteni sana JF

pepi pesdei dia sungura! kumbe you are an aquarian pia!!!
 
Na ninahisi nina karama ya kutoa pepo!Na kuombea watu utajiri,bamdogo Kaizer si unaweza kutunza sadaka vizuri?Huyu Rich Woman simuelewi elewi,hasijeakaondoka na mfuko wa sadaka,maana hata sijajua utajiri ameutoa wapi!!

Utajiri wa Rich Woman umetoke kwa malkia wa Sheba, alipoleta dhahabu kwa Mfalme! yeye ndio malkia na ni tajiri naturally!
 
Last edited by a moderator:
Na ninahisi nina karama ya kutoa pepo!Na kuombea watu utajiri,bamdogo Kaizer si unaweza kutunza sadaka vizuri?Huyu Rich Woman simuelewi elewi,hasijeakaondoka na mfuko wa sadaka,maana hata sijajua utajiri ameutoa wapi!!

Usihofu mtoto mzuri huu utajiri ni genuine mm najitole ujenzi wa kanisa pia nipewe kitengo cha uhasibu kwenye kanisa lako....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom