Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
- Thread starter
-
- #61
[amoja sana mkuu sungura1980 nakutakia siku njema ya kuzaliwa, Bantu lady hakikisha unampet pet mtoto vizuri leo
umeona eeeeh Rich Woman?...huyu sungura1980 nina mpango akasomee uchungaji hivi hivi mtaani patampa shida sana
Kizazi cha dot.com hiki,,na mkiongelea gizani gizani namuambia mama!
umeona eeeeh Rich Woman?...huyu sungura1980 nina mpango akasomee uchungaji hivi hivi mtaani patampa shida sana
Bora akasomee uchungaji aje aongeze nguvu.....
Wapendwa wana JF ninapoadhimisha siku ya kuzaliwa napenda kuwashukuru sana kwa michango yenu na ushirikiano mkubwa mnaonipatia.Sitaweza kuwataja wote maana natumia mchina,lakini shukrani za pekee ziwaendee wana JF wote hasa Bantu lady, miss chagga, sister, mwallu, kiwatengu, shansarie, Munkari, Mokoyo, Kaizer, watu8, Madame B, Lady doctor, Arushaone, Asprin, ladyfurahia, Passion Lady, zinc, farkhina, Judgement,, Washawasha,, Tangopori aka weka picha,, Inspector Lady, Baba V, Erickb52, Vallentina, Chocs, DEMBA, Zinduna, utafiti, Heaven on Earth, Mamdenyi, amu, mimi49, Paloma
Jamani ambao sijawataja mnisamehe,nawakumbuka wote,asanteni sana JF
asijekusema ajafundishwa kuendesha gari
Aiseee Nkwela Kaizer NA Rich Woman! ai si yuuu nkwela...
Usijali kabisa, leo hakanyagi chini.
cc: Kaizer
Na ninahisi nina karama ya kutoa pepo!Na kuombea watu utajiri,bamdogo Kaizer si unaweza kutunza sadaka vizuri?Huyu Rich Woman simuelewi elewi,hasijeakaondoka na mfuko wa sadaka,maana hata sijajua utajiri ameutoa wapi!!
Noted with thanks.....:israel::israel:
Ahhhh mtoto mzuri acha hizo kumfuatilia dady wake smtms mchepuko dili.....
Na ninahisi nina karama ya kutoa pepo!Na kuombea watu utajiri,bamdogo Kaizer si unaweza kutunza sadaka vizuri?Huyu Rich Woman simuelewi elewi,hasijeakaondoka na mfuko wa sadaka,maana hata sijajua utajiri ameutoa wapi!!
Aiseee Nkwela Kaizer NA Rich Woman! ai si yuuu nkwela...
Mentor hapo mbele umeniacha ila na ww unakaribishwa kwenye makange......