likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
Tarehe kama ya leo miaka 27 iliyopita kwa mapenzi ya Mungu nililetwa hapa duniani.
Pamoja na mambo mengine, namshukuru Mungu kwa kuendelea kunipa afya njema na kuhimili changamoto mbalimbali.
Ninaamini marafiki wa JF ni sehemu ya furaha yangu katika ulimwengu.
Kipekee nitawataja baadhi ya members naowakumbuka kwa majina
Maxence Melo (JF founder, bigup bro)
emmyta
Shunie Daby Joseverest (first reply)
Sky Eclat (doctor)
GuDume (ila acha ubwege)
MBITIYAZA
kapeace
mahondaw
BAK (mzee wa upinzani)
ONTARIO (tumia fursa)
Moderator (punguza ukali)
Na wengineo wengi nawatakia sikukuu njema.
Kwa niliowakwaza, kumradhi, Mawazo hayafanani hata vikombe hugongana.
Pamoja na mambo mengine, namshukuru Mungu kwa kuendelea kunipa afya njema na kuhimili changamoto mbalimbali.
Ninaamini marafiki wa JF ni sehemu ya furaha yangu katika ulimwengu.
Kipekee nitawataja baadhi ya members naowakumbuka kwa majina
Maxence Melo (JF founder, bigup bro)
emmyta
Shunie Daby Joseverest (first reply)
Sky Eclat (doctor)
GuDume (ila acha ubwege)
MBITIYAZA
kapeace
mahondaw
BAK (mzee wa upinzani)
ONTARIO (tumia fursa)
Moderator (punguza ukali)
Na wengineo wengi nawatakia sikukuu njema.
Kwa niliowakwaza, kumradhi, Mawazo hayafanani hata vikombe hugongana.